Zanzibar wame amua kutumia fursa mkuu; acha waufaidi muungano,. Sioni sababu ya kuwalaumu wao.Huu muungano unainyonya bara, ni muungano wa kitapeli haswa, sahivi tunaijenga Zanzibar kuliko kitu chochote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zanzibar wame amua kutumia fursa mkuu; acha waufaidi muungano,. Sioni sababu ya kuwalaumu wao.Huu muungano unainyonya bara, ni muungano wa kitapeli haswa, sahivi tunaijenga Zanzibar kuliko kitu chochote
Mi nitakula nao sahani moja, rasilimali zetu wanatumia hovyoZanzibar wame amua kutumia fursa mkuu; acha waufaidi muungano,. Sioni sababu ya kuwalaumu wao.
Unguja inawakaaa...Zanzibar wame amua kutumia fursa mkuu; acha waufaidi muungano,. Sioni sababu ya kuwalaumu wao.
Mozambique ina waislam 18% only na ni mwanachama tangu 1994Off course ni muungano wa Kidini. Jina lenyewe linasema kila kitu.
Nchi pekee ambayo siyo ya Kiisilamu iliyoko kwenye huo muungano ni Uganda ... nayo iliingizwa humo na Idd Amin Dada ambaye alikuwa ni Muisilamu.
Utaanzia wapi "kula nao sahani moja", wakati anaye wapa fursa hiyo, CCM, akiendelea kutamba apendavyo?Mi nitakula nao sahani moja, rasilimali zetu wanatumia hovyo
"Inawakaaa", au ina meremeta!Unguja inawakaaa...
Wakiristo wana Ubalozi wa Vatican. Una mwakilishi nani?OIC kuna Udini gani ... Picha upumbavu waliokataa Zanzibar kujiunga na OIC ndio wadini ..hivi unawajua mwmbers wa OIC
Wao wanaamini hivyo🤣percent ngapi ya wazanzibar ni waarabu hadi useme ni nchi ya kiarabu?
Tutatumia hata waganga wa kienyeji hakuna namnaUtaanzia wapi "kula nao sahani moja", wakati anaye wapa fursa hiyo, CCM, akiendelea kutamba apendavyo?
Bila kuidhibiti CCM ilivyo sasa hivi, huna njia yoyote ya kuzuia lolote.
Kwanini hamtoki sasa. ?! Waambieni akina Lukuvi na simbachawene hamtaki muungano uone namna gani watamwaga povu!!Huu muungano unainyonya bara, ni muungano wa kitapeli haswa, sahivi tunaijenga Zanzibar kuliko kitu chochote
Wakiristo wana Ubalozi wa Vatican. Una mwakilishi nani?
Ni Udini na chuki dhidi ya uislam ndiyo wanayo ...Wakiristo wana Ubalozi wa Vatican. Una mwakilishi nani?
Lazima tutauvunjaKwanini hamtoki sasa. ?! Waambieni akina Lukuvi na simbachawene hamtaki muungano uone namna gani watamwaga povu!!
Kikwete, Lukuvi, malechela, pinda , makamba na wasira, Hawa ndio wakitaka wanaweza kuvunja muungano au kuubadilisha. Wengine mtaishia kupiga kelele jf na muungano mtauona hivyohivyo.Mi nitakula nao sahani moja, rasilimali zetu wanatumia hovyo
Unafanya utani katika jambo lisilo hitaji utani, mkuu 'Benja'. Nilitaka kunyamaza tu, lakini nimeshindwa.Tutatumia hata waganga wa kienyeji hakuna namna
Imenilazimu nikupe alama hiyo (nzuri); kwa jitihada uliyofanya katika fikra, na siyo kukubaliana na uwezo wa hao ulio waorodhesha kuwa na uwezo huo.Kikwete, Lukuvi, malechela, pinda , makamba na wasira, Hawa ndio wakitaka wanaweza kuvunja muungano au kuubadilisha. Wengine mtaishia kupiga kelele jf na muungano mtauona hivyohivyo.
Sema nyie jamaa mkiwa wengi wa imani nyingine wanakuwa kama sio watu vile...Zanzibar ni nchi ya Kiislamu.
..Pia Zanzibar ni nchi ya Kiarabu.
..Hakuna sababu za msingi kuwazuia wasiwe wanachama wa OIC.