Sema nyie jamaa mkiwa wengi wa imani nyingine wanakuwa kama sio watu vile.
..wenye ubaguzi wako Zanzibar.
..huku Tanganyika wako poa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema nyie jamaa mkiwa wengi wa imani nyingine wanakuwa kama sio watu vile.
Hii nchi siyo mali ya baba zao, sisi ndiyo wananchi tunawezaKikwete, Lukuvi, malechela, pinda , makamba na wasira, Hawa ndio wakitaka wanaweza kuvunja muungano au kuubadilisha. Wengine mtaishia kupiga kelele jf na muungano mtauona hivyohivyo.
Kwa bunduki hatuwawezi kama ni maongezi hawataki, bora tutumie nguvu za giza zitusaidie kwa harakaUnafanya utani katika jambo lisilo hitaji utani, mkuu 'Benja'. Nilitaka kunyamaza tu, lakini nimeshindwa.
Nisilaumu, pengine wewe hiyo ndiyo njia inayo kusaidia kuondoa maumivu tunayo pewa na hawa waTanzania wenzetu!
OIC = Organisation of Islamic Cooperation.Mozambique ina waislam 18% only na ni mwanachama tangu 1994
Gabon ina waislam 11.2% na ni mwanachama tangu 1974
Togo only 14% islam ni mwanachama since 1997
Muwe mnachungulia kwanza kabla ya kueneza chuki
Mozambique ina waislam 18% only na ni mwanachama tangu 1994
Gabon ina waislam 11.2% na ni mwanachama tangu 1974
Togo only 14% islam ni mwanachama since 1997
Muwe mnachungulia kwanza kabla ya kueneza chuki
Kwa nini hawajitoi miaka 45 baada ya idd amin kutolewa madarakani?!
Sahihisho dogo. Mozambique ni observer. Baadhi ya nchi zilitegemea kupokea misaada mikubwa lakini hili halijatokea hadi sasa. OIC imekuwa zaidi jukwaa la kupiga porojo za kisiasa kuliko kuchochea uchumi na maendeleo. Angalia nchi waasisi kama Nigeria, Mali, Sudan, Tchad n.k. ni vurugu tu hata amani na usalama ni shida.Mozambique ina waislam 18% only na ni mwanachama tangu 1994
Gabon ina waislam 11.2% na ni mwanachama tangu 1974
Togo only 14% islam ni mwanachama since 1997
Muwe mnachungulia kwanza kabla ya kueneza chuki
Kwani faida ya kujiunga umoja wa mataifa nini nini,mbona bado mpo hohehahe?Hilo wanajuwa wenyewe .... there are a lot of possible reasons. Sitaki kuspeculate hapa.
Tuelezeni faida za kujiunga na OIC ili wote tujue. Maana mpaka sasa hatuji hata hao Uganda wamefaidika nini .... wako hohe hahe tu siku zote.
AU, UN, Fifa, caf nk nk mumebenefit nini moaka sasa?Hakuna chuki yeyote hapo. Watu wanahoji tu benefit zake.
So far hao Uganda au Mozambique wamebenefit nini kwenye huo ushirika...!!?
Hilo ni jina tu,OIC = Organisation of Islamic Cooperation.
Hebu tafisiri kwa kiswahili ili tujue tunakosea wapi.
AU,UN, na mitaasisi kibao ya siri siri na ya kugereshea imechochea nini hadi sasa?Sahihisho dogo. Mozambique ni observer. Baadhi ya nchi zilitegemea kupokea misaada mikubwa lakini hili halijatokea hadi sasa. OIC imekuwa zaidi jukwaa la kupiga porojo za kisiasa kuliko kuchochea uchumi na maendeleo. Angalia nchi waasisi kama Nigeria, Mali, Sudan, Tchad n.k. ni vurugu tu hata amani na usalama ni shida.
Wajiunge na muungano uvunjwe haraka
Wanataka na wakati huku nafasi zote za ajira zimejaa wazanzibarhivyto ndivyo wao wanavyotaka, ila nyinyi ndio munawang'ang'ania
Wanataka na wakati huku nafasi zote za ajira zimejaa wazanzibar