Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Kupitia kipindi cha michezo cha efm, Wilson Oruma amekaririww akisema kwa kikosi cha Yanga ya sasa ukimtoa Fiston Kalala Mayele basi ubora wa Yanga unapungua kwa 50%
Akaongeza zaidi, Mayele pekee yake kwa ubora wake anaibeba Yanga kwa asilimia 50%. Hivyo ili Yanga iwe vizuri inahitaji ubora wa Mayele.
Alikuwa akiyazungumza hayo kuelekea mchezo wa kesho wa Marumo Vs Yanga ambapo wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika watashuka dimbani wakijaribu kutafuta matokeo ya kuwawezesha kutinga fainali ya michuano hiyo kwa mara ya kwanza.
Je unakubaliana na maoni ya Wilson Oruma " Mzee wa Jambia"
Akaongeza zaidi, Mayele pekee yake kwa ubora wake anaibeba Yanga kwa asilimia 50%. Hivyo ili Yanga iwe vizuri inahitaji ubora wa Mayele.
Alikuwa akiyazungumza hayo kuelekea mchezo wa kesho wa Marumo Vs Yanga ambapo wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika watashuka dimbani wakijaribu kutafuta matokeo ya kuwawezesha kutinga fainali ya michuano hiyo kwa mara ya kwanza.
Je unakubaliana na maoni ya Wilson Oruma " Mzee wa Jambia"