Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Hahahahaha Mimi nilikua najua nimwanamke maana kuna Uzi alikua anachangia km Ke ,, nikajua ni Ke..... Kumbe ni Me ??..Sasa nilivyoona darleen nikajua moja kwa moja ni jina la kike,,we ulijua la kiume? Sasa alivyosema amekitembeza kwa mashori ndio nikajua kumbe dume
Najua unanipendamo ila kua makini na mimi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mim jitu bayaaaaa
Mim ndio maana hata ushauri hua sitoi kuna watu humu mara ni me mara ke,kuna nyuzi huwa nazipita tuHahahahaha Mimi nilikua najua nimwanamke maana kuna Uzi alikua anachangia km Ke ,, nikajua ni Ke..... Kumbe ni Me ??..
Jf inavisanga Dina!!.....Ngosha mie nakupendamo hivo hivo ..sisi mangosha hatutupani [emoji23] [emoji23] [emoji23] ..Ngosha cheupee
Tatizo Lowasar bado anaunda.Ajabu ipi, kuumwa ni dhambi?, hujawhi kuugua?, au kuuguza?, na kuugua sio kufa, pengine unalako jambo kuhusu huyu jamaa
Hahahaha putin unaona sasaMkuu Putin naona umekomaa na huu uzi hadi watu tumeamua kusoma comments zako kwa jicho moja, huku tumejificha...hahaha... Bora nikasome jukwaa la siasa kuliko comments zako humu...hahahahaha, maana unaharibu mood za watu.
Tupo wengi sanaaaa kiasi kwamba nikm ilivyo China , akinyongwa mmoja ni "Twente tuuuu".... Bariadiii mojaaaa.Mim ndio maana hata ushauri hua sitoi kuna watu humu mara ni me mara ke,kuna nyuzi huwa nazipita tu
Sasa Kumbe we ni Ngosha uniombee mazuri sasa,sio kuniwazia mabaya au kwa vile wasukuma tupo wengi sana
Soon utasikia acc inauzwa, njo dm.Isije kuwa anatafuta followers maana siku hizi watu wako tayari kufanya chochote wapate followers na umaarufu.
Siamini kama ingekuwa kweli angeyaanika hayo mambo hadharani
Yap tupo wengi sanaTupo wengi sanaaaa kiasi kwamba nikm ilivyo China , akinyongwa mmoja ni "Twente tuuuu".... Bariadiii mojaaaa.
Aya Dina alafu jina lako km ukoon mwetu lipo nawapo akina dina wengiiiii.
Wewe jinga sikiliza, mimi siandiki hapa vitu vya kusoma mitandaoni kama wewe, nimeishi first world, ni nani aliyekudanganya mamtoni bado watu wanawaza mambo ya ukimwi?Acha kudanganya watu.....Mataifa makubwa kila siku yanapambana na huu ugonjwa ,nawao wanamisosi kibaoo , wanajua namna gani ya kuishi ...Lkn bado hawalegezi ,, kila siku wanakaa vichwa kuwaza namna yakuzuia maambukizi.....
Alafu Wewe mwafrika mmoja ,kisha unakula vzuri ndo uufananishe Ukimwi na Malaria ????.
GUYS ..achaneni nawatu waloshindwa hawa hata ukimwambia twende tupime chenga zinakua nyingi hahahahahah
Mie ni nusu nusu hahaaaaaa ....nawajua hasa Dina ,,Neema ,,ndo majina ya wasukuma sanaaaa !!.sema kitu kimoja ninachopendea Ngosha wenzangu haaaaaa (/acha umbeya ).Yap tupo wengi sana
Basi mi nilijuaga we Mhaya,,dina,diana,edina haya majina yanapendwa na wasukuma sana
DuuuuuuuWewe jinga sikiliza, mimi siandiki hapa vitu vya kusoma mitandaoni kama wewe, nimeishi first world, ni nani aliyekudanganya mamtoni bado watu wanawaza mambo ya ukimwi?
Umefika ulaya wewe? Niambie ulaya gani kuna mabango ya kupambana na ukimwi au kutumia condom?
Kati ya ukimwi na Maralia, Maralia ndio ugonjwa hatari zaidi ya ukimwi, ila kwa popoma kama wewe huwezi kulijuwa hili lipo juu ya uwezo wako wa kuchanganuwa mambo.
Vipi mbona unatuzuia tusi jadili? unataka wote tufe kwa ugonjwa mmoja? ni nani ameonesha kushangaa mtu kuumwa?Ajabu ipi, kuumwa ni dhambi?, hujawhi kuugua?, au kuuguza?, na kuugua sio kufa, pengine unalako jambo kuhusu huyu jamaa
Duuuh basi bongo movie yote imeathirikaNi steve wa bongo movie,anaumwa sana za chini ya kapeti na imefanywa siri lo ila shishiii ndio katujulishaView attachment 669683 yakaibuka mengine tena View attachment 669684 binti analalama,,sina mengi leo