Mzee wa kulia akikamatwa kwenye umbea

Mzee wa kulia akikamatwa kwenye umbea

Sasa nilivyoona darleen nikajua moja kwa moja ni jina la kike,,we ulijua la kiume? Sasa alivyosema amekitembeza kwa mashori ndio nikajua kumbe dume
Najua unanipendamo ila kua makini na mimi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mim jitu bayaaaaa
Hahahahaha Mimi nilikua najua nimwanamke maana kuna Uzi alikua anachangia km Ke ,, nikajua ni Ke..... Kumbe ni Me ??..

Jf inavisanga Dina!!.....Ngosha mie nakupendamo hivo hivo ..sisi mangosha hatutupani [emoji23] [emoji23] [emoji23] ..Ngosha cheupee
 
Mkuu Putin naona umekomaa na huu uzi hadi watu tumeamua kusoma comments zako kwa jicho moja, huku tumejificha...hahaha... Bora nikasome jukwaa la siasa kuliko comments zako humu...hahahahaha, maana unaharibu mood za watu.
 
Hahahahaha Mimi nilikua najua nimwanamke maana kuna Uzi alikua anachangia km Ke ,, nikajua ni Ke..... Kumbe ni Me ??..

Jf inavisanga Dina!!.....Ngosha mie nakupendamo hivo hivo ..sisi mangosha hatutupani [emoji23] [emoji23] [emoji23] ..Ngosha cheupee
Mim ndio maana hata ushauri hua sitoi kuna watu humu mara ni me mara ke,kuna nyuzi huwa nazipita tu
Sasa Kumbe we ni Ngosha uniombee mazuri sasa,sio kuniwazia mabaya au kwa vile wasukuma tupo wengi sana
 
Mkuu Putin naona umekomaa na huu uzi hadi watu tumeamua kusoma comments zako kwa jicho moja, huku tumejificha...hahaha... Bora nikasome jukwaa la siasa kuliko comments zako humu...hahahahaha, maana unaharibu mood za watu.
Hahahaha putin unaona sasa
Lakin pamoja na kutahadhalishwa kwani mnakoma sasa
 
Mim ndio maana hata ushauri hua sitoi kuna watu humu mara ni me mara ke,kuna nyuzi huwa nazipita tu
Sasa Kumbe we ni Ngosha uniombee mazuri sasa,sio kuniwazia mabaya au kwa vile wasukuma tupo wengi sana
Tupo wengi sanaaaa kiasi kwamba nikm ilivyo China , akinyongwa mmoja ni "Twente tuuuu".... Bariadiii mojaaaa.

Aya Dina alafu jina lako km ukoon mwetu lipo nawapo akina dina wengiiiii.
 
Tupo wengi sanaaaa kiasi kwamba nikm ilivyo China , akinyongwa mmoja ni "Twente tuuuu".... Bariadiii mojaaaa.

Aya Dina alafu jina lako km ukoon mwetu lipo nawapo akina dina wengiiiii.
Yap tupo wengi sana
Basi mi nilijuaga we Mhaya,,dina,diana,edina haya majina yanapendwa na wasukuma sana
 
Aiseee huu ugonjwa upo sema huwa twajisahau tuu na una angamiza sana....
Huyo aliye comment pengine anataka kumchafua tuu lakini kama ni kweli basi yeye na mdogo wake ni wapumbavu sana.....
 
Acha kudanganya watu.....Mataifa makubwa kila siku yanapambana na huu ugonjwa ,nawao wanamisosi kibaoo , wanajua namna gani ya kuishi ...Lkn bado hawalegezi ,, kila siku wanakaa vichwa kuwaza namna yakuzuia maambukizi.....

Alafu Wewe mwafrika mmoja ,kisha unakula vzuri ndo uufananishe Ukimwi na Malaria ????.

GUYS ..achaneni nawatu waloshindwa hawa hata ukimwambia twende tupime chenga zinakua nyingi hahahahahah
Wewe jinga sikiliza, mimi siandiki hapa vitu vya kusoma mitandaoni kama wewe, nimeishi first world, ni nani aliyekudanganya mamtoni bado watu wanawaza mambo ya ukimwi?

Umefika ulaya wewe? Niambie ulaya gani kuna mabango ya kupambana na ukimwi au kutumia condom?

Kati ya ukimwi na Maralia, Maralia ndio ugonjwa hatari zaidi ya ukimwi, ila kwa popoma kama wewe huwezi kulijuwa hili lipo juu ya uwezo wako wa kuchanganuwa mambo.
 
Aiseee huu ugonjwa upo sema huwa twajisahau tuu na una angamiza sana....
Huyo aliye comment pengine anataka kumchafua tuu lakini kama ni kweli basi yeye na mdogo wake ni wapumbavu sana.....
Sijui kasema ili iweje lo
 
Yap tupo wengi sana
Basi mi nilijuaga we Mhaya,,dina,diana,edina haya majina yanapendwa na wasukuma sana
Mie ni nusu nusu hahaaaaaa ....nawajua hasa Dina ,,Neema ,,ndo majina ya wasukuma sanaaaa !!.sema kitu kimoja ninachopendea Ngosha wenzangu haaaaaa (/acha umbeya ).
 
Wewe jinga sikiliza, mimi siandiki hapa vitu vya kusoma mitandaoni kama wewe, nimeishi first world, ni nani aliyekudanganya mamtoni bado watu wanawaza mambo ya ukimwi?

Umefika ulaya wewe? Niambie ulaya gani kuna mabango ya kupambana na ukimwi au kutumia condom?

Kati ya ukimwi na Maralia, Maralia ndio ugonjwa hatari zaidi ya ukimwi, ila kwa popoma kama wewe huwezi kulijuwa hili lipo juu ya uwezo wako wa kuchanganuwa mambo.
Duuuuuuu
 
Si alisema atagombea Ubunge Kinondoni kupitia CHAMA!
 
Kwani kuna atakaye ishi milele jamani, kufa ni moja ya maisha, kwanini watu wanaogopa kufa wakati ndio part ya maisha ?
 
Ajabu ipi, kuumwa ni dhambi?, hujawhi kuugua?, au kuuguza?, na kuugua sio kufa, pengine unalako jambo kuhusu huyu jamaa
Vipi mbona unatuzuia tusi jadili? unataka wote tufe kwa ugonjwa mmoja? ni nani ameonesha kushangaa mtu kuumwa?
Halafu hili ni jukwaa linalo muhusu huyo Steve kwa hiyo kama hutaki ajadiliwe ni wewe....sisi tutaendelea kujadili hasa na haka kaugonjwa na tutatafuta ukweli kama kweli amewaambukiza kwa makusudi huyo binti na dada yake na baada ya kupata ushahidi nitakutag uje tujadili na kisha tutamsomea Albdir ili ahare zaidi....(jokes)
Kama utaki kujadili nenda jukwaa la Teknolojia au la elimu.
 
Back
Top Bottom