residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Nimemuona Olusegon nikafurahi sana, nikakumbuka maongezi fulani kipindi fulani na BWM.Mbona hujauliza kuhusu Obasanjo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemuona Olusegon nikafurahi sana, nikakumbuka maongezi fulani kipindi fulani na BWM.Mbona hujauliza kuhusu Obasanjo?
Stooge
Kwa hiyo hufahamu kuwa ni nguvu na ushawishi wa Mheshimiwa Dkt Kikwete uliomfanya Dr Asha Rose Migiro akachaguliwa kuwa Naibu katibu Mkuu wa umoja wa Mataifa?
Tuacheni masihara, Mseven ni mbishi sana. Yaani Kilometa zimesoma, kakongoroka kimtindo lakini mpaka sasa hajawaza hata chembe kuachia madaraka.Kwenu wajuzi, kuuliza si ujinga:
View attachment 3080797
Si kwa ubaya lakini.
Kwamba Kenyatta hayupo hapo ila huyu ndugu?
Huyo mzee ni kivurugeKwenu wajuzi, kuuliza si ujinga:
View attachment 3080797
Si kwa ubaya lakini.
Kwamba Kenyatta hayupo hapo ila huyu ndugu?
Drip check man 😂Ila kaguta museven bwana anachekesha aisee sana chek alivyo kazeeka lkn madaraka wapi
Mbona hujauliza kuhusu Obasanjo?Kwenu wajuzi, kuuliza si ujinga:
View attachment 3080797
Si kwa ubaya lakini.
Kwamba Kenyatta hayupo hapo ila huyu ndugu?
Kuna Chuma kiko nyuma ya Kaguta, unakionaje hicho, Pia huyu wa kwanza kulia mstari wa mbele, yeye ana Mkongojo kabisa.Ila kaguta museven bwana anachekesha aisee sana chek alivyo kazeeka lkn madaraka wapi
Jamaa ni chapombe, itakuwa alizidiwaKwamba rais mstaafu kuliko Kenyatta?
Mbona huulizi kuhusu Obasanjo?Kwamba rais mstaafu kuliko Kenyatta?
Haters wa JK lazima mtachutama tu; mtake mstake. Huyo mwamba hamumuwezi hamumuwezi HAMUMUWEZI.
Ni kirusi cha taifaJK ni hazina ya Taifa,aongezewe ulinzi
Kuna Chuma kiko nyuma ya Kaguta, unakionaje hicho, Pia huyu wa kwanza kulia mstari wa mbele, yeye ana Mkongojo kabisa.
Rais pekee mtanzania originoNi kirusi cha taifa