Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 4,407
- 16,942
Original crookRais pekee mtanzania origino
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Original crookRais pekee mtanzania origino
Tuacheni masihara, Mseven ni mbishi sana. Yaani Kilometa zimesoma, kakongoroka kimtindo lakini mpaka sasa hajawaza hata chembe kuachia madaraka.
Jamaa ni chapombe, itakuwa alizidiwa
unadhania amekwenda bila mualiko? Mbona na Obasanjo yupo hapo na yeye ni mstaafu?Kwamba rais mstaafu kuliko Kenyatta?
unadhania amekwenda bila mualiko? Mbona na Obasanjo yupo hapo na yeye ni mstaafu?
mimi sioni mantiki ya Obasanjo kumuwakilisha Tinubu, ila amekwenda kwa mualiko wake mwenyewe kama rais mstaafu, sawa na Kikwete.Kwanini hudhani Obasanjo anamwakilisha Tinubu?
Unadhani wa Burundi na wa Rwanda wale wamealikwa kama wao au ni uwakilishi?
Kama kaalikwa na Raila Amolo Odinga kuna ubaya gani?!
[emoji7][emoji7]unadhania amekwenda bila mualiko? Mbona na Obasanjo yupo hapo na yeye ni mstaafu?
[emoji7]mimi sioni mantiki ya Obasanjo kumuwakilisha Tinubu, ila amekwenda kwa mualiko wake mwenyewe kama rais mstaafu, sawa na Kikwete.
Kwenye shughuli nyingi za chaguzi za kimataifa baadhi ya marais wastaafu huwa wanaalikwa kama vile kufanya monitoring.
[emoji7]Mbona raisi mstaafu wa Nigeria Olusegun Obasanjo alikuwepo na hujauliza kwanini.
[emoji7]Kama kaalikwa na Raila Amolo Odinga kuna ubaya gani?!
Huwezi elewa subiri ukue..Kwenu wajuzi, kuuliza si ujinga:
View attachment 3080797
Si kwa ubaya lakini.
Kwamba Kenyatta hayupo hapo ila huyu ndugu?
Mbona raisi mstaafu wa Nigeria Olusegun Obasanjo alikuwepo na hujauliza kwanini.
Huwezi elewa subiri ukue..
Kachoka sana ni vile africa hatuna visionSimkubali Odinga hata kwa ubalozi wa nyumba 10, ni mtu wa gozgozi sana
mimi sioni mantiki ya Obasanjo kumuwakilisha Tinubu, ila amekwenda kwa mualiko wake mwenyewe kama rais mstaafu, sawa na Kikwete.
Kwenye shughuli nyingi za chaguzi za kimataifa baadhi ya marais wastaafu huwa wanaalikwa kama vile kufanya monitoring.