Mzee wa upako: Haina maana Samia Suluhu anafurahia kifo cha Magufuli, ni ramani ya Mungu. Adai Magufuli alimwambia 'alideep' Urais

Kweli Mungu anasingiziwa vingi! Mnafanya mchezo na Mungu wewe pamoja na hawa matapeli kama anayejiita mzee wa upako.
 
Msituchoshe na mambo yenu ya kimbwa mbwa...
 
Kwamba uncle aliota "Kiti Cha Ufalme'' sauti ikamwambia akae akakataa, lakini akalazimishwa.

Mimi sikatai maana sikuwepo alipoota, bt nachokijua ni kuwa Mzee wa Lupaso alimwambia chukua fomu.

Tatizo la Watawala wengi wanaipenda waotewe ndoto nzuri nzuri tu, ndoto za maonyo hawazitaki.

Waotaji jukwaani tunamuona haendelei Awamu ingine bt wanapuuza. Anashauriwa ktk utawala wake iandikwe KATIBA mpya. itakuwa ZAWADI na ALAMA Kwa vizazi vingi vijavyo. Amen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…