Mzee wa Upako: Kuoa wake wengi sio dhambi, katazo ni propaganda

Mzee wa Upako: Kuoa wake wengi sio dhambi, katazo ni propaganda

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001


Amesema katazo la kuoa wake wengi ni propaganda za wazungu ambapo wao wapo tayari wanaume waoane lakini sisi kuoa wake wengi waone kosa.

Ameongeza siku ya mwisho mwanaume mmoja atakuwa na wake saba.
 
Ujumbe wake huu hapa

Screenshot_2024-07-12-16-57-24-1.png
Screenshot_2024-07-12-16-57-10-1.png
 
Utatu mtakatifu umemshinda

Ana divert attention huyo mkewe huyo mbona hatujawahi kumwona walau kapiga naye picha au kuwa naye kwenye public event ? Au wakitandika pamoja konyagi?

Huyu ni Muislamu aliyekuja kwenye ukristo kuibia wakristo
 
Back
Top Bottom