Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 7,621
- 12,505
Get your facts right mkuuHaiwezekani duniani kila mwanaume kuoa wake wengi kwasababu wanaume duniani tupo wengi kuliko wanawake. Kuna warakaokosa.
Wanawake ndio wengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Get your facts right mkuuHaiwezekani duniani kila mwanaume kuoa wake wengi kwasababu wanaume duniani tupo wengi kuliko wanawake. Kuna warakaokosa.
Huyo Ibra wa wapi kwani mkuu...🤔Shambulia hoja mkuu
Usimshambulie mtoa hoja
Kwanini Ibrahim haikua dhambi?
Atakua wa Kazeramimba ya kwa mtogole mkuuHuyo Ibra wa wapi kwani mkuu...🤔
Sisi wenye wake wa-kukodi tuna comment wapi?Yeye kama anataka kuoa wake wengi aoe tu! Lakini ndoa ni ya Mme mmoja na Mke Mmoja kama ilivyokuwa mwanzo,kama Yesu Kristo anavyosema,
Mathayo19:4-7
Mwanzo2:21-24
Kila mtu awe na Mke wake Mwenyewe na kila Mwanamke awe na Mme wake Mwenyewe,
(1Wakorintho7:1-4)
Azibwe Mdomo Vinginevyo Itakuwa Aibu
Chagua mmoja funga ndoa naye then maisha yaendelee.Sisi wenye wake wa-kukodi tuna comment wapi?
Unajua maana ya ndoa? Pingu za maisha, nani anataka kuishi gerezani?Chagua mmoja funga ndoa naye then maisha yaendelee.
Kwani kuna mkristo mwenye akili?Hivi kuna mkristo mwenye akili kama mm anaweza kumsikiliza huyu mlevi
USSR
Kama ungeuliza hilo swali ndio ungejidhihiridha kuwa kichwani kuna mayai viza ya kutosha.Kama mimi ningekuwa Mkristo basi ningem challenge hivi huyo Pastor.
Kama lengo la Mungu ni kuzaa ili kuijaza dunia, kwanini option ya kuwa na mwenza zaidi ya mmoja iwe fixed upande mmoja?
Kwanini iwe wanaume tu peke yao ndio wenye hiyo access ya kuwa na wanawake wengi?
Kwanini na wanawake nao wasipate hiyo option ya kuwa na wanaume wengi ili kuharakisha zoezi zima la kuijaza dunia lifanyike kwa haraka?
Na Yesu akamuoa nani?, au aliwaambia tuu muoe ila yeye hakuoa?Yeye kama anataka kuoa wake wengi aoe tu! Lakini ndoa ni ya Mme mmoja na Mke Mmoja kama ilivyokuwa mwanzo,kama Yesu Kristo anavyosema,
Mathayo19:4-7
Mwanzo2:21-24
Kila mtu awe na Mke wake Mwenyewe na kila Mwanamke awe na Mme wake Mwenyewe,
(1Wakorintho7:1-4)
Mkuu haya maswali alipaswa kuulizwa Mungu na sio lusekeloKama mimi ningekuwa Mkristo basi ningem challenge hivi huyo Pastor.
Kama lengo la Mungu ni kuzaa ili kuijaza dunia, kwanini option ya kuwa na mwenza zaidi ya mmoja iwe fixed upande mmoja?
Kwanini iwe wanaume tu peke yao ndio wenye hiyo access ya kuwa na wanawake wengi?
Kwanini na wanawake nao wasipate hiyo option ya kuwa na wanaume wengi ili kuharakisha zoezi zima la kuijaza dunia lifanyike kwa haraka?
Nipe andiko linalo ruhusu ushoga kwenye Biblia.Mkuu haya maswali alipaswa kuulizwa Mungu na sio lusekelo
Alichosema lusekelo ni kwamba mbona wakina Abraham na akina Suleman walikua na wake wengi? Kwanini sasa iwe dhambi ila ushoga ni rukhsa?
Ndio ulichobakiza, huna jingine.Kwani kuna mkristo mwenye akili?
Sawa ni mlevi je alichosema vipi ? Au huoni yuko sahihi kwenye ilo jambomda wote mtu anashidia konyagi na wewe umeweka sikio kumsikiliza si unaweza kufika mbinguni au motoni umelewa kwa maombi yake