zous
JF-Expert Member
- Sep 25, 2017
- 3,152
- 5,854
Taja nchi ambayo wanaume ni wengi kuliko wanawakeHii umeitoa wapi mkuuš kijiweni au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taja nchi ambayo wanaume ni wengi kuliko wanawakeHii umeitoa wapi mkuuš kijiweni au
Achana na ulevi wake jibu hoja hiyomda wote mtu anashidia konyagi na wewe umeweka sikio kumsikiliza si unaweza kufika mbinguni au motoni umelewa kwa maombi yake
Mwanamke anaweza kubeba mimba moja kwa miezi tisa, mwanaume anaweza kuwabebesha wanawake kila siku,Kama mimi ningekuwa Mkristo basi ningem challenge hivi huyo Pastor.
Kama lengo la Mungu ni kuzaa ili kuijaza dunia, kwanini option ya kuwa na mwenza zaidi ya mmoja iwe fixed upande mmoja?
Kwanini iwe wanaume tu peke yao ndio wenye hiyo access ya kuwa na wanawake wengi?
Kwanini na wanawake nao wasipate hiyo option ya kuwa na wanaume wengi ili kuharakisha zoezi zima la kuijaza dunia lifanyike kwa haraka?
Kakosea nini sasa!
Isa 4:1
Sio nchi , Duniani wanaume tupo wengi kuliko wanawake. Mfano wa nchi Basi Ni China, Nigeria, Ethiopia., Egypt,India, Morocco, Hii inatokana na uwezekano mkubwa wakuzaliwa watoto wa kiume kuliko wakike.Taja nchi ambayo wanaume ni wengi kuliko wanawake
Yeye anao wake wangapi?katoa reference kwa Ibrahim
ukimpinga njooo na reference
Tena ni wengi sana na ukumbuke pia kuna wanaume jina tuGet your facts right mkuu
Wanawake ndio wengi
Hata na leo kua na mke mmoja ni uvivu na uoga wa maishaKumbe zamani mwanaume mwenye mke mmoja alidharaulika
Duh
Ni wachache wenye akili kubwa wanaoelewa..YUPO SAHIHI [emoji106][emoji106][emoji106]
AaaahaaaHata na leo kua na mke mmoja ni uvivu na uoga wa maisha
Mmmm, si kwa avatar hiyo. Yaani unatoa hoja hii wewe! Yaani Mzee anakoelekea anajua Mungu, nawe unaelekea wapi? Maana kwa avatar hiyo hata ukiwa na wake 7 lazima uongeze na huyo.