Mzee wa Upako: Kuoa wake wengi sio dhambi, katazo ni propaganda

Mzee wa Upako: Kuoa wake wengi sio dhambi, katazo ni propaganda

Kama mimi ningekuwa Mkristo basi ningem challenge hivi huyo Pastor.

Kama lengo la Mungu ni kuzaa ili kuijaza dunia, kwanini option ya kuwa na mwenza zaidi ya mmoja iwe fixed upande mmoja?

Kwanini iwe wanaume tu peke yao ndio wenye hiyo access ya kuwa na wanawake wengi?

Kwanini na wanawake nao wasipate hiyo option ya kuwa na wanaume wengi ili kuharakisha zoezi zima la kuijaza dunia lifanyike kwa haraka?
Mwanamke anaweza kubeba mimba moja kwa miezi tisa, mwanaume anaweza kuwabebesha wanawake kila siku,

Sasa logic ndogo kama hii unashindwa kuielewa? ...
 
YUPO SAHIHI [emoji106][emoji106][emoji106]
Ni wachache wenye akili kubwa wanaoelewa..

Juzi alisema Yesu sio Mungu mkuu..alisimangwa sana..

Ila mara ngapi Yesu anamzungumzia Baba yake?
Yehova ni nani?
Yahwe ni nani?
Bila Yesu kristo hatuwezi kufika kwa babake.
Tafakari

Mungu baba,Mungu mwana na Roho mtakatifu.
 
Bibilia inasema tuzijaribu hizo roho kama zimetokana na Mungu , maana watatokea manabii wauongo wanaweza kuwateka yumkini hata wateule
 
Back
Top Bottom