zous
JF-Expert Member
- Sep 25, 2017
- 3,152
- 5,854
Wanawake wako wengi kuliko wanaume sio kwa binadam tuh mpk kwa wanyamaHaiwezekani duniani kila mwanaume kuoa wake wengi kwasababu wanaume duniani tupo wengi kuliko wanawake. Kuna warakaokosa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake wako wengi kuliko wanaume sio kwa binadam tuh mpk kwa wanyamaHaiwezekani duniani kila mwanaume kuoa wake wengi kwasababu wanaume duniani tupo wengi kuliko wanawake. Kuna warakaokosa.
WE MWANAMKE UMFAHAMU IJALISHI DINI EMBU ONGEZA UJE KULETA KILIO HAPASawa ni mlevi je alichosema vipi ? Au huoni yuko sahihi kwenye ilo jambo
Mungu kasema tuzae mpk yesu ajapinga ilo asa mwenye mke mmoja na wake wengi Nani anatimiza neno la mungu la kujaza duniaWE MWANAMKE UMFAHAMU IJALISHI DINI EMBU ONGEZA UJE KULETA KILIO HAPA
WE ZAA TU KAMA NGURUWE UJE KULETA ILE KESI KAMA HIIMungu kasema tuzae mpk yesu ajapinga ilo asa mwenye mke mmoja na wake wengi Nani anatimiza neno la mungu la kujaza dunia
WE ZAA TU KAMA NGURUWE UJE KULETA ILE KESI KAMA HII
View: https://www.youtube.com/watch?v=3i97zL9ftTg
WE OA MPAKA CHAMA CHA CCMUoga huo mkuu ingawa bado ila nna mpango wakuja kuoa wake wawili walau
WE ZAA TU KAMA NGURUWE UJE KULETA ILE KESI KAMA HII
View: https://www.youtube.com/watch?v=3i97zL9ftTg
Hahahah hao wakiona umeoa wapil akili zinawakaa sawa haezi leta kisirani anajua kuna mwenzakeWE MWANAMKE UMFAHAMU IJALISHI DINI EMBU ONGEZA UJE KULETA KILIO HAPA
Mkuu hujaelewa hoja yanguNipe andiko linalo ruhusu ushoga kwenye Biblia.
Mjibu point yake, Kama daudi alikuwa na wake zaidi ya mmoja, Hivyo Hivyo Suleimani, hivyohivyo Yakobo ambaye anaitwa Israel kwanini Leo mkatazwe kuoa mke zaidi ya mmoja?Hivi kuna mkristo mwenye akili kama mm anaweza kumsikiliza huyu mlevi
USSR
Yesu unaye muiga alikuwa na mke huyo mmoja au alizaa watoto wangap ww unamfuata mtu ambaye hata hakuwa na mke wala mtoto kweli utapeli mwingiYeye kama anataka kuoa wake wengi aoe tu! Lakini ndoa ni ya Mme mmoja na Mke Mmoja kama ilivyokuwa mwanzo,kama Yesu Kristo anavyosema,
Mathayo19:4-7
Mwanzo2:21-24
Kila mtu awe na Mke wake Mwenyewe na kila Mwanamke awe na Mme wake Mwenyewe,
(1Wakorintho7:1-4)
Watu wanashindwa kumjibu swali lake!!Mkuu hujaelewa hoja yangu
Mzee wa upako anacho shangaa ni kwamba ni kwanini ushoga ambao hauruhusiwi kwenye Bibilia unapata baraka za kanisa halafu ndoa za wake wengi ambazo zipo kwenye Bibilia zinapingwa kwa nguvu kubwa?
kwa ibrahimu mkewe sara alikuwa hazai na umri ulishakwenda akamruhusu azae na binti wake wa kazi ilimladi kizazi kiendelee,hata ivyo yule mke mdogo badae alifukuzwa na Sara mke wa Ibrahimu,Shambulia hoja mkuu
Usimshambulie mtoa hoja
Kwanini Ibrahim haikua dhambi?
Mkuu kwani wanao muamini Mudi wanaoa idadi sawa na Mudi?Yesu unaye muiga alikuwa na mke huyo mmoja au alizaa watoto wangap ww unamfuata mtu ambaye hata hakuwa na mke wala mtoto kweli utapeli mwingi
Swali zuriMkuu hujaelewa hoja yangu
Mzee wa upako anacho shangaa ni kwamba ni kwanini ushoga ambao hauruhusiwi kwenye Bibilia unapata baraka za kanisa halafu ndoa za wake wengi ambazo zipo kwenye Bibilia zinapingwa kwa nguvu kubwa?
Kumbe zamani mwanaume mwenye mke mmoja alidharaulikaKitu kinachotutafuna kwa sasa ni kuingia kwenye mtego wa ndoa ya mke mmoja.
Hata tamaduni zetu zenyewe zilidharau mwanaume mwenye mke Mmoja.
Zaidi Hakuna mahali biblia imesema tuoe mke mmoja au tuwe na mke mmoja.
Tuendelee kufungwa na sheria za kanisa ambazo tuliamini hazibadiliki ila kwa sasa zinaendelea kubadilika.
UNAONA UNA PA KUWAWEKA AU UTAWAWEKA MSIKITNI AU KANISANIAkili kisoda unaacha kuzaa eti unahofia watoto mirathi basi ww unashida ushaambiwa mtegemea cha ndugu hufa maskini ww endelea kumuombea mshua wako afe uje urithi nyumba nyumbu ww
Inashangaza badala ya wachangiaji kujikita kwenye hoja,wanamjadili Lusekelo.View attachment 3040240
View attachment 3040244
Amesema katazo la kuoa wake wengi ni propaganda za wazungu ambapo wao wapo tayari wanaume waoane lakini sisi kuoa wake wengi waone kosa.
Ameongeza siku ya mwisho mwanaume mmoja atakuwa na wake saba
Uwe huru! Utakumbuka uzeeni.Unajua maana ya ndoa? Pingu za maisha, nani anataka kuishi gerezani?