Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 4,175
- 2,294
Ukiona mtu anashindwa kujibu hoja, ujue somo kalielewa bali ubishi tu unamsumbua. Somo alilotoa mzee wa upako limeeleweka kwa wakristo wengi.Mbona kaongea hoja nzuri na nzito mnashindwa kumjibu mnamtukana ebu jibuni hoja hio vizur
Mnapinga wake wengi afu mnaongoza kwa michepuko
Na kama halijaeleweka, Basi na anayebisha na kamaameoa atupe jiwe la kwanza kama hana kimada huko nje. Na kwanini iwe ruksa kuwa na kimada nje eti ukajidanganya, si bora uowe tu ili hata watoto wako wote wapate haki ya kama elimu, malazi, matibabu hata kurithi mali zako pale Mwemyeezi mungu atapokuchukua.