Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Hii umeitoa wapi mkuu😅 kijiweni auWanawake wako wengi kuliko wanaume sio kwa binadam tuh mpk kwa wanyama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii umeitoa wapi mkuu😅 kijiweni auWanawake wako wengi kuliko wanaume sio kwa binadam tuh mpk kwa wanyama
Yuko sahihi sana, kuoa wake wengi haijawahi kuwa dhambi kokote kule, zaidi ilikuwa ni ushauri tu wa mtume mmoja.Hivi kuna mkristo mwenye akili kama mm anaweza kumsikiliza huyu mlevi
USSR
Mwanamke hana uwezo wa kubeba mimba za wanaume wawili kwa wakati mmoja lakini mwanaume anauwezo wa kubebesha mimba wanawake hata mia kwa wakati mmoja.Kama mimi ningekuwa Mkristo basi ningem challenge hivi huyo Pastor.
Kama lengo la Mungu ni kuzaa ili kuijaza dunia, kwanini option ya kuwa na mwenza zaidi ya mmoja iwe fixed upande mmoja...
Yuko vizuri sanaMimi sio muumini wa Imani za Mungu lakini kusema ukweli huwa namuelewa sana Lusekelo linapokuja swala la kunyoosha maandiko kama yalivyo bila kumung’unya maneno
Wapi wamesema pombe ni dhambi? inashauriwa sana kuwa ulevi ni tatizo, ila pombe haijawahi kuwa dhambi.mda wote mtu anashidia konyagi na wewe umeweka sikio kumsikiliza si unaweza kufika mbinguni au motoni umelewa kwa maombi yake
Kwa hiyo Mfalme Suleiman alifanya dhambi?Yeye kama anataka kuoa wake wengi aoe tu! Lakini ndoa ni ya Mme mmoja na Mke Mmoja kama ilivyokuwa mwanzo,kama Yesu Kristo anavyosema,
Mathayo19:4-7
Mwanzo2:21-24
Kila mtu awe na Mke wake Mwenyewe na kila Mwanamke awe na Mme wake Mwenyewe,
(1Wakorintho7:1-4)
Hebu rudia kusoma ulichoandika alafu jitathmini, Kwa msaada ni kwamba Mwanamme anaweza wapa mimba wanawake wengi kadri ya uwezo wake, lakini kila mimba Kwa mwanamke itajazwa na mwanamme mmoja tu hapo Tena mpaka baada ya miezi Tisa ajifungue ndipo ataweza kupewa na mwanamme mwingine.Kama mimi ningekuwa Mkristo basi ningem challenge hivi huyo Pastor.
Kama lengo la Mungu ni kuzaa ili kuijaza dunia, kwanini option ya kuwa na mwenza zaidi ya mmoja iwe fixed upande mmoja?
Kwanini iwe wanaume tu peke yao ndio wenye hiyo access ya kuwa na wanawake wengi?
Kwanini na wanawake nao wasipate hiyo option ya kuwa na wanaume wengi ili kuharakisha zoezi zima la kuijaza dunia lifanyike kwa haraka?
Nani amekwambia Yesu akuacha watoto, tatizo mnasoma Biblia peke yake ilhali imefanyiwa mchujo wa kutosha. Soma na vitabu vingine vilivyoandikwa na wale ambao hawakuwa wafuasi wa Yesu.Yesu unaye muiga alikuwa na mke huyo mmoja au alizaa watoto wangap ww unamfuata mtu ambaye hata hakuwa na mke wala mtoto kweli utapeli mwingi
Kazi kweli kweli........
Hakika amenena vyema...
Nadhani Yesu alipokuja ndo alinyooshaView attachment 3040240
View attachment 3040244
Amesema katazo la kuoa wake wengi ni propaganda za wazungu ambapo wao wapo tayari wanaume waoane lakini sisi kuoa wake wengi waone kosa.
Ameongeza siku ya mwisho mwanaume mmoja atakuwa na wake saba
Usimshambulie mtoa hoja
Kwanini Ibrahim haikua dhambi?
Katika kileo Kuna ukweli siyo unafiki.
In vino veritas is a Latin phrase that means 'in wine, there is truth', suggesting a person under the influence of alcohol is more likely to speak their hidden thoughts and desires.
njoo na reference
katoa reference kwa Ibrahim
ukimpinga njooo na reference
Kipindi cha agano la kale kabla Yesu kuja duniani, kulikua na sheria nyingi kama talaka, ndoa za mitala, ndugu kwa ndugu kushiriki ngonoMimi naanza kumuamini, huyu ndiyo mtume wa kizazi kipya
Vyema wapi lo mdogo mdogo anawehuka huyo muasiHakika amenena vyema...
Pia suleiman,mwenye wake 700 na mahawara 300,lakini bado biblia inamrejerea suleiman kama mtakatifu,wazungu wajinga sana,naungana mchungaji Lusekelokatoa reference kwa Ibrahim
ukimpinga njooo na reference
Kabisa....na ndio ilikuwa sababu ya anguko lake.Kwa hiyo Mfalme Suleiman alifanya dhambi?
Hakuja duniani kuoa! Alikuja kwa kazi moja ya kuuokoa ulimwengu na dhambi! Harafu asili yake ni mbinguni,mbinguni hawaoi wala kuolewa,Na Yesu akamuoa nani?, au aliwaambia tuu muoe ila yeye hakuoa?