OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
katoa reference kwa IbrahimSura ime mporomoka, na mashavu yote yamesha shushwa na nyagi...😜
njoo na referenceHivi kuna mkristo mwenye akili kama mm anaweza kumsikiliza huyu mlevi
USSR
Katika kileo Kuna ukweli siyo unafiki.Hivi kuna mkristo mwenye akili kama mm anaweza kumsikiliza huyu mlevi
USSR
Mimi sio muumini wa Imani za Mungu lakini kusema ukweli huwa namuelewa sana Lusekelo linapokuja swala la kunyoosha maandiko kama yalivyo bila kumung’unya manenoUjumbe wake huu hapa
Huyo Ibra wa wapi kwani mkuu...🤔katoa reference kwa Ibrahim
ukimpinga njooo na reference
mda wote mtu anashidia konyagi na wewe umeweka sikio kumsikiliza si unaweza kufika mbinguni au motoni umelewa kwa maombi yake
Tumekata nae sana faru john enzi zile napombeka man...Ulishawahi kumnunulia hata kasichana?
Shambulia hoja mkuuSura ime mporomoka, na mashavu yote yamesha shushwa na nyagi...😜