Mzee wa Upako na Dudu Baya mmelidharau bunge la Tanzania

Mzee wa Upako na Dudu Baya mmelidharau bunge la Tanzania

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,466
Reaction score
18,206
Leo sijui kumetokea nn kwenye mitandao Ya kijamii yaani clipu fupi fupi za mzee wa upako na dudu baya wakitema nyongo zao juu ya bunge hili la spika Tulia

Mzee wa upako yeye alifika mbali kwa ssa hivi yeye hawezi kupoteza muda wake kulitazama bunge hili , kwani wabunge waliopo hawajui lolote na "mawazo yao ni yale yale akitoka haPa anaishi hapa so hakuna kitu" alisema mzee wa upako. Alifika mbali akasema wazi wazi kuwa bunge alilokuwa analitizama ni la spika Samuel sita na ana makinda alisema llikuwa bunge La viwango na kasi na kulikuwa hakuna kutekana hvyo

Yeye dudu baya ameamka asbh na kisha kuanza kuwashambulia wa bunge wenye elimu ndogo ya darasa la saba akisema hawana wajualo akitaka ifike mahali wafukuzwe au liundwe bunge La seneti lenye wabunge wasomi wote hasa wanasheria na wa nao juwa katiba

Kwa kauli hzo ni kwamba wamelidharau muhimili mwingine wa dola na hvyo wakamatwe wahojiwe kwenye kamati ya maadili na madarak ya bunge ni dharau Kubw sana wameonesha kwa spika na waziri mkuu na Mawaziri wote, spika tulia ni kiongozi wa mabunge yote duniani 😂😂😂
 
Kudeal na waraibu wa athari za vitu vikali vya kulevya sidhani kama inahitaji hata kubabaika nao na by the way hakuna haja kabisa kuwatilia maanani watu hao zaidi ya kuona namna ya kuwasaidia kisaikolojia 🐒
 
kudeal na waraibu wa athari za vitu vikali vya kulevya sidhani kama inahitaji hata kubabaika nao,

na by the way hakuna haja kabisa kuwatilia maanani watu hao zaidi ya kuona namna ya kuwasaidia kisaikolojia 🐒
Kwa nijuavyo mimi hakuna mtu mkweli kama hao unaowaita walevi au waraibu, they speak their minds wakati watu kama wewe wanaongea kwa kutumikia tumbo...
 
Screenshot_2024-09-04-22-36-48-1.png
 
Kudeal na waraibu wa athari za vitu vikali vya kulevya sidhani kama inahitaji hata kubabaika nao na by the way hakuna haja kabisa kuwatilia maanani watu hao zaidi ya kuona namna ya kuwasaidia kisaikolojia 🐒
Kama ni waraibu na Wanapoint nzur hivo....basi sobber house zote zigeuzwe guest house...
 
Pale mbona hamna bunge, hivi ulipata kuliona bunge la pius msekwa, samuel sitta au anna makinda kweli? Mabunge yale yalikua yanaisimamia serikali hili bunge la sasa la kuipongeza na kuipamba serikali hakuna mtanzania mwenye akili timamu anayelitaka kulisikia
 
Back
Top Bottom