Mzee wa Upako na Dudu Baya mmelidharau bunge la Tanzania

Mzee wa Upako na Dudu Baya mmelidharau bunge la Tanzania

Leo sijui kumetokea nn kwenye mitandao Ya kijamii yaani clipu fupi fupi za mzee wa upako na dudu baya wakitema nyongo zao juu ya bunge hili la spika Tulia

Mzee wa upako yeye alifika mbali kwa ssa hivi yeye hawezi kupoteza muda wake kulitazama bunge hili , kwani wabunge waliopo hawajui lolote na "mawazo yao ni yale yale akitoka haPa anaishi hapa so hakuna kitu" alisema mzee wa upako. Alifika mbali akasema wazi wazi kuwa bunge alilokuwa analitizama ni la spika Samuel sita na ana makinda alisema llikuwa bunge La viwango na kasi na kulikuwa hakuna kutekana hvyo

Yeye dudu baya ameamka asbh na kisha kuanza kuwashambulia wa bunge wenye elimu ndogo ya darasa la saba akisema hawana wajualo akitaka ifike mahali wafukuzwe au liundwe bunge La seneti lenye wabunge wasomi wote hasa wanasheria na wa nao juwa katiba

Kwa kauli hzo ni kwamba wamelidharau muhimili mwingine wa dola na hvyo wakamatwe wahojiwe kwenye kamati ya maadili na madarak ya bunge ni dharau Kubw sana wameonesha kwa spika na waziri mkuu na Mawaziri wote, spika tulia ni kiongozi wa mabunge yote duniani 😂😂😂

Mbona walichoongea ndicho watañzania wôte wanajua hivyo
 
Katika hao wabunge wa darasa la 7 asiowataka Dudu na mzee Kishimba yupo? I think mzee Jumanne Kishimba anawazidi wasomi wengi tu kwa HOJA, intellectuals wengi ni watu walio kariri vitabu, hawawezi kufikiri nje ya vitabu walivyo kariri; Kishimba is the best among of all, yule aachwe
 
ILa all in all magu ndio ametuletea hawa wabunge hawa
 
Hili bunge Ili liache Legacy lipitishe Sheria inayoruhusu kilimo cha Bange!
Nje ya hapo ni takataka!
😁😁
 
Leo sijui kumetokea nn kwenye mitandao Ya kijamii yaani clipu fupi fupi za mzee wa upako na dudu baya wakitema nyongo zao juu ya bunge hili la spika Tulia

Mzee wa upako yeye alifika mbali kwa ssa hivi yeye hawezi kupoteza muda wake kulitazama bunge hili , kwani wabunge waliopo hawajui lolote na "mawazo yao ni yale yale akitoka haPa anaishi hapa so hakuna kitu" alisema mzee wa upako. Alifika mbali akasema wazi wazi kuwa bunge alilokuwa analitizama ni la spika Samuel sita na ana makinda alisema llikuwa bunge La viwango na kasi na kulikuwa hakuna kutekana hvyo

Yeye dudu baya ameamka asbh na kisha kuanza kuwashambulia wa bunge wenye elimu ndogo ya darasa la saba akisema hawana wajualo akitaka ifike mahali wafukuzwe au liundwe bunge La seneti lenye wabunge wasomi wote hasa wanasheria na wa nao juwa katiba

Kwa kauli hzo ni kwamba wamelidharau muhimili mwingine wa dola na hvyo wakamatwe wahojiwe kwenye kamati ya maadili na madarak ya bunge ni dharau Kubw sana wameonesha kwa spika na waziri mkuu na Mawaziri wote, spika tulia ni kiongozi wa mabunge yote duniani 😂😂😂
Mnh! Kwani BUNGE bado lipo?!
 
HIzi ni Effect za utawala wa jiwe ila mzee wa upako anajisahaulisha nn wakati tunapinga jiwe kuunda serikali ya chama kimoja yy alikuwa anashangilia na kuwatukana wanaopinga.
 
Leo sijui kumetokea nn kwenye mitandao Ya kijamii yaani clipu fupi fupi za mzee wa upako na dudu baya wakitema nyongo zao juu ya bunge hili la spika Tulia

Mzee wa upako yeye alifika mbali kwa ssa hivi yeye hawezi kupoteza muda wake kulitazama bunge hili , kwani wabunge waliopo hawajui lolote na "mawazo yao ni yale yale akitoka haPa anaishi hapa so hakuna kitu" alisema mzee wa upako. Alifika mbali akasema wazi wazi kuwa bunge alilokuwa analitizama ni la spika Samuel sita na ana makinda alisema llikuwa bunge La viwango na kasi na kulikuwa hakuna kutekana hvyo

Yeye dudu baya ameamka asbh na kisha kuanza kuwashambulia wa bunge wenye elimu ndogo ya darasa la saba akisema hawana wajualo akitaka ifike mahali wafukuzwe au liundwe bunge La seneti lenye wabunge wasomi wote hasa wanasheria na wa nao juwa katiba

Kwa kauli hzo ni kwamba wamelidharau muhimili mwingine wa dola na hvyo wakamatwe wahojiwe kwenye kamati ya maadili na madarak ya bunge ni dharau Kubw sana wameonesha kwa spika na waziri mkuu na Mawaziri wote, spika tulia ni kiongozi wa mabunge yote duniani 😂😂😂
"spika tulia ni kiongozi wa mabunge yote duniani', bora aende huko kwani hapa amepwaya, na wewe pia ni hasara.
 
HIzi ni Effect za utawala wa jiwe ila mzee wa upako anajisahaulisha nn wakati tunapinga jiwe kuunda serikali ya chama kimoja yy alikuwa anashangilia na kuwatukana wanaopinga.
Ni mnafiki sana
 
Pale mbona hamna bunge, hivi ulipata kuliona bunge la pius msekwa, samuel sitta au anna makinda kweli? Mabunge yale yalikua yanaisimamia serikali hili bunge la sasa la kuipongeza na kuipamba serikali hakuna mtanzania mwenye akili timamu anayelitaka kulisikia
Aliyeharibu bunge yule kizee cha kongwa ovyo kabsaa huyu aliyepo kaiga maana naye aliwekwa pale
 
Binafsi mie sipotezi muda wangu, kutizama bunge la tanzaGIZA.

Kuhusu wasomi, shida sio mbunge sio msomi, shida uzalendo, nchi imeoza kila mmoja anafikiria kupiga kuliko maendeleo.
Ukipata chance piga pita hivi
 
Back
Top Bottom