Mzee wa Upako na Dudu Baya mmelidharau bunge la Tanzania


Mbona walichoongea ndicho wataΓ±zania wΓ΄te wanajua hivyo
 
Katika hao wabunge wa darasa la 7 asiowataka Dudu na mzee Kishimba yupo? I think mzee Jumanne Kishimba anawazidi wasomi wengi tu kwa HOJA, intellectuals wengi ni watu walio kariri vitabu, hawawezi kufikiri nje ya vitabu walivyo kariri; Kishimba is the best among of all, yule aachwe
 
ILa all in all magu ndio ametuletea hawa wabunge hawa
 
Hili bunge Ili liache Legacy lipitishe Sheria inayoruhusu kilimo cha Bange!
Nje ya hapo ni takataka!
😁😁
 
Mnh! Kwani BUNGE bado lipo?!
 
HIzi ni Effect za utawala wa jiwe ila mzee wa upako anajisahaulisha nn wakati tunapinga jiwe kuunda serikali ya chama kimoja yy alikuwa anashangilia na kuwatukana wanaopinga.
 
"spika tulia ni kiongozi wa mabunge yote duniani', bora aende huko kwani hapa amepwaya, na wewe pia ni hasara.
 
HIzi ni Effect za utawala wa jiwe ila mzee wa upako anajisahaulisha nn wakati tunapinga jiwe kuunda serikali ya chama kimoja yy alikuwa anashangilia na kuwatukana wanaopinga.
Ni mnafiki sana
 
Aliyeharibu bunge yule kizee cha kongwa ovyo kabsaa huyu aliyepo kaiga maana naye aliwekwa pale
 
Binafsi mie sipotezi muda wangu, kutizama bunge la tanzaGIZA.

Kuhusu wasomi, shida sio mbunge sio msomi, shida uzalendo, nchi imeoza kila mmoja anafikiria kupiga kuliko maendeleo.
Ukipata chance piga pita hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…