Mzee wa Upako na Dudu Baya mmelidharau bunge la Tanzania

ila bunge kudharauliwa na wananchi raha sanaaa
sema wenye matatizo ya kisaikolijia bana,

usiwasemee wananchi wanaoliheshimu na kulipenda bunge lao tukufu, makini na chapa kazi πŸ’
 
sema wenye matatizo ya kisaikolijia bana,

usiwasemee wananchi wanaoliheshimu na kulipenda bunge lao tukufu, makini na chapa kazi πŸ’
Daaah wananchi wapi hao mkuu?au wananchi wa cuba!!hahaha
 
Sio dharau ww akili yako ndio inakutuma hivyo kwakuwa Elimu yako haijawahi kukusaidia chochoteπŸ‘£πŸ‘£
 
Mwafrika ni kiumbe mpumbavu sana kuwahi kutokea katika dunia hii.Mtu mwenyewe akili timamu hawezi angalia Bunge la nchi hii na huo ndo ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…