Sawa
Hiiiii ! Kwakweli iko kazi 😅 lakini kuna ka ukweli ndani yake. !!
Bapa kubwaaaa
Wapo wapigaji wengi tu ndio wasomi wazuri na wapo wengi tu wasio na elimu kubwa lakini ndio waadilifu na wanajua kuambanua kati ya jema na baya !!🙏🙏Hivi mzee wa upako ana elimu gani?
Zile za hapa na paleHivi mzee wa upako ana elimu gani?
Haihusiani, elimu ya kutambua mema na mabaya ni muhim sana, kabla ya kutueleza bla blaWapo wapigaji wengi tu ndio wasomi wazuri na wapo wengi tu wasio na elimu kubwa lakini ndio waadilifu na wanajua kuambanua kati ya jema na baya !!🙏🙏
Piiheeechiiiideeeeee😂😀😀Hivi mzee wa upako ana elimu gani?
Ameshakunywa Bapa mbili hana akili.
Hivi mzee wa upako ana elimu gani?
Asema Iko kwenye Hansard mbinguni na duniani. 🤣🤣
Zawadini mengine haya.ni burudani panapo fyongo kupasema si dhambi bila kujali jiwe gizani litamwangukia nani.
Dp world si udini, ukanda, uchama, jinsia nk.
Hili ni elimu .. tuelimishane badala ya kuchukiana.
Ni kweli DP World si udini ila kwanini kunatajwa dini?Asema Iko kwenye Hansard mbinguni na duniani. 🤣🤣
Zawadini mengine haya.ni burudani panapo fyongo kupasema si dhambi bila kujali jiwe gizani litamwangukia nani.
Dp world si udini, ukanda, uchama, jinsia nk.
Hili ni elimu .. tuelimishane badala ya kuchukiana.