Mzee wa Upako: Waraka wa TEC unadhoofisha mipango ya Serikali, haijalishi mipango hiyo ni mizuri au mibaya

Mzee wa Upako: Waraka wa TEC unadhoofisha mipango ya Serikali, haijalishi mipango hiyo ni mizuri au mibaya

Huyu ni mjinga na hujifanya mwerevu! Yeye amehubiri siasa madhabahuni mara ngapi? Video zake zimejaa mitandaoni. Nimemsikiliza na kuishia kumuona mganga njaa anayetafuta kila fursa aonekane ana impact.

Kwa taarifa yake, ule waraka ujumbe umefika kikamilifu! Taasisi gani ingesema isikike kama TEC? Maaskofu hawatajibu mtu ila wanafuatilia yanayoendelea ...
 
Waraka mmoja tu umewatoa mafichoni waganga njaa wote.

Tukubaliane kitu kimoja, wote waliopitisha mkataba wawe tayari kuwajibika kwa mapungufu yote yatakayojitokeza, ikiwemo kunyongwa hadi kufa, (japo haliwezakani) ila kungekua na uwezo huo ungeona wanafki wote wanakaa mbali na mkataba.

Hii nchi inajulikana shamba la bibi watu wana haribu kwa maslahi yao wakijua hawataguswa mpaka kufa kwao.

Tunahitaji katiba yenye vifungu vya kunyonga wahujumu nchi, bila kujali nyazifa walizoshika.
 
Yeye anavyooana nisawa serikali kuingia mkataba kama huo ambao hauna kikomo? Yaani sisi kama taifa ni kama manyani hata elimu yetu haiwezi kutusaidi sisi kuja kubadilika na kuendeleza rasilimali zetu? Unampaje mtu amiliki eneo lako milele wakati unao watoto? Si watoto watakuwa watumwa kwenye rasilimali zao?.
 
Ni kweli DP World si udini ila kwanini kunatajwa dini?

Kunatajwa dini na watu wasiokuwa na hoja. Utalazimisha wasiokuwa na hoja wawe nazo?

Angalia Mzee huyu au huyu hapa, nini tofauti yao?

F4DQnPZWwAAZcRr.jpeg
 
Kwa hakika haupo udini hapa!

Amesema "Naonge mambo ya moyoni sikurupuki, sijakurupuka. Haya ninayoongea yatabaki kwenye ansadi mbele za Mungu na katika historia ya nchi hii."

Ameongeza "Wanalalamika kuwa tumetoa Waraka na haujasomwa kwenye vyombo ya habari vya kimataifa. Nani atasoma waraka unapinga Serikali? Waraka unadalilisha, unadhoofisha mipango ya Serikali. Mimi sizungumzii kama ni mizuri au mibaya mambo ya mizuri au mibaya tumewaachia CHADEMA, CUF na TPL na Mwambukusi, wataongea Siasa zao huko"

View attachment 2725036

Hiiiiiii bagosha! -- akipenda kusema JPM rip.
Serikali isituhusu Kanisa kuwa sehemu ya mkono wake kwenye kutekeleza maslahi ya Umma.

Sio Kila mahala kinachoitwa Demokrasia kinatakiwa Kwa sababu kinaweza Kuzuia ubishani ,ushindani na baadae mafarakano
 
Kwa hakika haupo udini hapa!

Amesema "Naonge mambo ya moyoni sikurupuki, sijakurupuka. Haya ninayoongea yatabaki kwenye ansadi mbele za Mungu na katika historia ya nchi hii."

Ameongeza "Wanalalamika kuwa tumetoa Waraka na haujasomwa kwenye vyombo ya habari vya kimataifa. Nani atasoma waraka unapinga Serikali? Waraka unadalilisha, unadhoofisha mipango ya Serikali. Mimi sizungumzii kama ni mizuri au mibaya mambo ya mizuri au mibaya tumewaachia CHADEMA, CUF na TPL na Mwambukusi, wataongea Siasa zao huko"

View attachment 2725036

Hiiiiiii bagosha! -- akipenda kusema JPM rip.
Naunga mkono hoja
 
Kwa hakika haupo udini hapa!

Amesema "Naonge mambo ya moyoni sikurupuki, sijakurupuka. Haya ninayoongea yatabaki kwenye ansadi mbele za Mungu na katika historia ya nchi hii."

Ameongeza "Wanalalamika kuwa tumetoa Waraka na haujasomwa kwenye vyombo ya habari vya kimataifa. Nani atasoma waraka unapinga Serikali? Waraka unadalilisha, unadhoofisha mipango ya Serikali. Mimi sizungumzii kama ni mizuri au mibaya mambo ya mizuri au mibaya tumewaachia CHADEMA, CUF na TPL na Mwambukusi, wataongea Siasa zao huko"

View attachment 2725036

Hiiiiiii bagosha! -- akipenda kusema JPM rip.
𝙈𝙩𝙪 𝙖𝙣𝙖𝙬𝙚𝙯𝙖 𝙠𝙪𝙥𝙖𝙩𝙖 𝙗𝙖𝙝𝙖𝙩𝙞 𝙣𝙟𝙚𝙢𝙖 𝙠𝙖𝙩𝙞𝙠𝙖 𝙩𝙖𝙖𝙗𝙪; 𝙣𝙖 𝙗𝙖𝙝𝙖𝙩𝙞 𝙣𝙟𝙚𝙢𝙖 𝙮𝙖𝙬𝙚𝙯𝙖 𝙞𝙠𝙖𝙞𝙨𝙝𝙞𝙖 𝙠𝙖𝙩𝙞𝙠𝙖 𝙝𝙖𝙨𝙖𝙧𝙖.
Sira 20:9
 
Makanisa mengine mi kusanyiko la washirikina aise,yaani TEC pigo moja tu la waraka ,washirikina wa maendeleo na raslimali za nchi wamekurupuka kutoka vichochoro walikofichama, walijisahau wakaficha vichwa huku viwili wiki vyao wameacha nje,CCT toeni la kwenu tunasubiri,yaani kiongozi kabisa unashadadia kugawa raslimali halafu watoto wetu miaka 20 ijayo watakula wapi? Yaaaaani, CCT tunasubiri shusheni pigo lingine hii nchi imejaa viongozi wezi sana
 
Kwa hakika haupo udini hapa!

Amesema "Naonge mambo ya moyoni sikurupuki, sijakurupuka. Haya ninayoongea yatabaki kwenye ansadi mbele za Mungu na katika historia ya nchi hii."

Ameongeza "Wanalalamika kuwa tumetoa Waraka na haujasomwa kwenye vyombo ya habari vya kimataifa. Nani atasoma waraka unapinga Serikali? Waraka unadalilisha, unadhoofisha mipango ya Serikali. Mimi sizungumzii kama ni mizuri au mibaya mambo ya mizuri au mibaya tumewaachia CHADEMA, CUF na TPL na Mwambukusi, wataongea Siasa zao huko"

View attachment 2725036

Hiiiiiii bagosha! -- akipenda kusema JPM rip.
Mimi simpingi wala kumbeza mtiwa mafuta wa Bwana.

Langu ni moja tu, KUWAOMBEA MAASKOFU TEC WAFUNIKWE NA VITANGA VYA BWANA MUNGU. WALINDWE MAANA KWELI WALIYOINENA TAYARI IMEWAWEKA DARAJA LA YOHANA MBATIZAJI KUTAKA KUKATWA KICHWA. Mungu wa Mbinguni awalinde na kuwaongoza TEC

Sikubaliani na Katoliki kwenye mengi lakini linapokuja suala la jamii wanasimama kwenye ukuhani wao bila kuyumba
 
Kwa hakika haupo udini hapa!

Amesema "Naonge mambo ya moyoni sikurupuki, sijakurupuka. Haya ninayoongea yatabaki kwenye ansadi mbele za Mungu na katika historia ya nchi hii."

Ameongeza "Wanalalamika kuwa tumetoa Waraka na haujasomwa kwenye vyombo ya habari vya kimataifa. Nani atasoma waraka unapinga Serikali? Waraka unadalilisha, unadhoofisha mipango ya Serikali. Mimi sizungumzii kama ni mizuri au mibaya mambo ya mizuri au mibaya tumewaachia CHADEMA, CUF na TPL na Mwambukusi, wataongea Siasa zao huko"

View attachment 2725036

Hiiiiiii bagosha! -- akipenda kusema JPM rip.
Maoni yake yaheshimiwe, ame speak his mind kwa kujipa jukumu la kuijibia serikali.
Kwake yeye amewwka wazi kuwa, uzuri au ubaya wa mambo ya serikali yanapaswa kusemwa na vyama vya Upinzani na si wengine😃
 
Back
Top Bottom