okiwira
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,856
- 3,003
Nyaginizimu.Hivi mzee wa upako ana elimu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyaginizimu.Hivi mzee wa upako ana elimu gani?
Ya hapa na pale, miaka fulani alikuwa anafanya utapeli kwenye migodi ya dhahabu mara paaap nasikia ni mchungaji. Ni mtumiaji mzuri wa jibapa.Hivi mzee wa upako ana elimu gani?
Huyu kama mwezi mchanga, Kuna wakati anaongea point, lakini Kwa hili la mkataba hayuko sawa. TEC waraka wao hauzungumzii dini, unazungumzia rasilimali zetu za Taifa kukabidhiwa wageni haiko sawa. Bandari ni geti la nyumba, huwezi kumkabidhi geti la nyumba mgeni akulindie, halafu ukija awe na maamuzi ya kukufungulia au la ukae nje, hapo Sasa ni kwako? Waraka wa TEC upo sawa na umewatoa nyoka wengi pangoni.Kwa hakika haupo udini hapa!
Amesema "Naongea mambo ya moyoni sikurupuki, sijakurupuka. Haya ninayoongea yatabaki kwenye hansadi mbele za Mungu na katika historia ya nchi hii."
Ameongeza "Wanalalamika kuwa tumetoa Waraka na haujasomwa kwenye vyombo vya habari vya kimataifa. Nani atasoma waraka unaopinga Serikali? Waraka unadalilisha, unadhoofisha mipango ya Serikali. Mimi sizungumzii kama ni mizuri au mbaya, mambo ya mizuri au mibaya tumewaachia CHADEMA, CUF na TPL na Mwambukusi, wataongea Siasa zao huko"
View attachment 2725036
Hiiiiiii bagosha! -- akipenda kusema JPM rip.
Hujajibu swali, umeulizwa ana elimu gani?Wapo wapigaji wengi tu ndio wasomi wazuri na wapo wengi tu wasio na elimu kubwa lakini ndio waadilifu na wanajua kuambanua kati ya jema na baya !![emoji120][emoji120]
Ukiona hivyo naye ameambulia mgao wa DPW .Huyu ni mjinga na hujifanya mwerevu! Yeye amehubiri siasa madhabahuni mara ngapi? Video zake zimejaa mitandaoni. Nimemsikiliza na kuishia kumuona mganga njaa anayetafuta kila fursa aonekane ana impact.
Kwa taarifa yake, ule waraka ujumbe umefika kikamilifu! Taasisi gani ingesema isikike kama TEC? Maaskofu hawatajibu mtu ila wanafuatilia yanayoendelea ...
Ni tapeli mlevi mmoja anajifanya muhubiri kumbe mwizi!Hivi mzee wa upako ana elimu gani?
Ni bora huyo anajielewa na kutifua wadada kuliko hao wa matamko na waraka maana wao haijulikani wanatifuliwa au wanatifuanaKonyagi inaongea...kuna dada alikuwa anamtifua Ubungo Msewe mwambieni anamsalimia. Hakuna hata moja la maana aliliongea Pampula huyo.
MemkwaHivi mzee wa upako ana elimu gani?
uchawa ni tatizo kuliko hata mafisadi nchini kwa sasaKwa hakika haupo udini hapa!
Amesema "Naongea mambo ya moyoni sikurupuki, sijakurupuka. Haya ninayoongea yatabaki kwenye hansadi mbele za Mungu na katika historia ya nchi hii."
Ameongeza "Wanalalamika kuwa tumetoa Waraka na haujasomwa kwenye vyombo vya habari vya kimataifa. Nani atasoma waraka unaopinga Serikali? Waraka unadalilisha, unadhoofisha mipango ya Serikali. Mimi sizungumzii kama ni mizuri au mbaya, mambo ya mizuri au mibaya tumewaachia CHADEMA, CUF na TPL na Mwambukusi, wataongea Siasa zao huko"
View attachment 2725036
Hiiiiiii bagosha! -- akipenda kusema JPM rip.
Na ni hekima kunyamaza vile vileSio dhambi kwa Mtanzania ku speak his mind.
Mzee wa BAPA kashasema so kaeni kimya!!Kwa hakika haupo udini hapa!
Amesema "Naongea mambo ya moyoni sikurupuki, sijakurupuka. Haya ninayoongea yatabaki kwenye hansadi mbele za Mungu na katika historia ya nchi hii."
Ameongeza "Wanalalamika kuwa tumetoa Waraka na haujasomwa kwenye vyombo vya habari vya kimataifa. Nani atasoma waraka unaopinga Serikali? Waraka unadalilisha, unadhoofisha mipango ya Serikali. Mimi sizungumzii kama ni mizuri au mbaya, mambo ya mizuri au mibaya tumewaachia CHADEMA, CUF na TPL na Mwambukusi, wataongea Siasa zao huko"
View attachment 2725036
Hiiiiiii bagosha! -- akipenda kusema JPM rip.
Takataka anaongea pumba na uchocheziKunatajwa dini na watu wasiokuwa na hoja. Utalazimisha wasiokuwa na hoja wawe nazo?
Angalia Mzee huyu au huyu hapa, nini tofauti yao?
View attachment 2725149
Kwakweli Sijui elimu yake !Hujajibu swali, umeulizwa ana elimu gani?
Huyu ni mlevi wa pombe kali sugu. Sijuinhata hao waumini wake wana nini sehemu inayostahili kuwa na ubongo.Mbona anaonekana kama kalewa?😁😁
Wee mke wa mwarabu umerudi tena?Una jazba wewee [emoji1787][emoji1787]
Naona unatafuta "punching bag" ufike "org....m" [emoji1787]
Unapwagaza ARGUMENTUM AD HOMINEM kwa baba mchungaji Lusekelo kisa tu yuko kinyume na maoni yako....saaalaaleeee[emoji1787]