Mzee wa Upako: Waraka wa TEC unadhoofisha mipango ya Serikali, haijalishi mipango hiyo ni mizuri au mibaya

Mzee wa Upako: Waraka wa TEC unadhoofisha mipango ya Serikali, haijalishi mipango hiyo ni mizuri au mibaya

Kuna ukweli hawa maaskofu nao Mbona suala la ushoga hawajatoa waraka?kama kweli wanalipenda hili Taifa?
 
Kwa hakika haupo udini hapa!

Amesema "Naongea mambo ya moyoni sikurupuki, sijakurupuka. Haya ninayoongea yatabaki kwenye hansadi mbele za Mungu na katika historia ya nchi hii."

Ameongeza "Wanalalamika kuwa tumetoa Waraka na haujasomwa kwenye vyombo vya habari vya kimataifa. Nani atasoma waraka unaopinga Serikali? Waraka unadalilisha, unadhoofisha mipango ya Serikali. Mimi sizungumzii kama ni mizuri au mbaya, mambo ya mizuri au mibaya tumewaachia CHADEMA, CUF na TPL na Mwambukusi, wataongea Siasa zao huko"

View attachment 2725036

Hiiiiiii bagosha! -- akipenda kusema JPM rip.
Huyu kama mwezi mchanga, Kuna wakati anaongea point, lakini Kwa hili la mkataba hayuko sawa. TEC waraka wao hauzungumzii dini, unazungumzia rasilimali zetu za Taifa kukabidhiwa wageni haiko sawa. Bandari ni geti la nyumba, huwezi kumkabidhi geti la nyumba mgeni akulindie, halafu ukija awe na maamuzi ya kukufungulia au la ukae nje, hapo Sasa ni kwako? Waraka wa TEC upo sawa na umewatoa nyoka wengi pangoni.
 
Huyu ni mjinga na hujifanya mwerevu! Yeye amehubiri siasa madhabahuni mara ngapi? Video zake zimejaa mitandaoni. Nimemsikiliza na kuishia kumuona mganga njaa anayetafuta kila fursa aonekane ana impact.

Kwa taarifa yake, ule waraka ujumbe umefika kikamilifu! Taasisi gani ingesema isikike kama TEC? Maaskofu hawatajibu mtu ila wanafuatilia yanayoendelea ...
Ukiona hivyo naye ameambulia mgao wa DPW .
 
Kwa hakika haupo udini hapa!

Amesema "Naongea mambo ya moyoni sikurupuki, sijakurupuka. Haya ninayoongea yatabaki kwenye hansadi mbele za Mungu na katika historia ya nchi hii."

Ameongeza "Wanalalamika kuwa tumetoa Waraka na haujasomwa kwenye vyombo vya habari vya kimataifa. Nani atasoma waraka unaopinga Serikali? Waraka unadalilisha, unadhoofisha mipango ya Serikali. Mimi sizungumzii kama ni mizuri au mbaya, mambo ya mizuri au mibaya tumewaachia CHADEMA, CUF na TPL na Mwambukusi, wataongea Siasa zao huko"

View attachment 2725036

Hiiiiiii bagosha! -- akipenda kusema JPM rip.
uchawa ni tatizo kuliko hata mafisadi nchini kwa sasa
 
Binafsi nimekubali hoja moja ya Mzee wa Upako. Je ni kwanini TEC hawajawahi kuandaa waraka wa kupinga Masuala ya ushoga duniani?? Kama hawajawahi kupinga hadharani Masuala ya ushoga basi tutawatathimini kwamba wameamua kuyapa kipaumbeli Mambo ya Kimwili kuliko yale ya Kiroho.

BINAFSI SINA SHIDA KWA TAMKO, LAKINI KUHUSU YALE YANAYOMCHUKIZA MWENYEZI MUNGU AMBAYO SERIKALI KUBWA DUNIANI ZINATAKA KILA NCHI IHALALISHE NADHANI HAPA TEC WANGEANDAA WARAKA KUPINGA UCHUFU HUU. JE NI KWANINI HAWAKUWAHI KUFANYA HIVYO???
 
Kwa hakika haupo udini hapa!

Amesema "Naongea mambo ya moyoni sikurupuki, sijakurupuka. Haya ninayoongea yatabaki kwenye hansadi mbele za Mungu na katika historia ya nchi hii."

Ameongeza "Wanalalamika kuwa tumetoa Waraka na haujasomwa kwenye vyombo vya habari vya kimataifa. Nani atasoma waraka unaopinga Serikali? Waraka unadalilisha, unadhoofisha mipango ya Serikali. Mimi sizungumzii kama ni mizuri au mbaya, mambo ya mizuri au mibaya tumewaachia CHADEMA, CUF na TPL na Mwambukusi, wataongea Siasa zao huko"

View attachment 2725036

Hiiiiiii bagosha! -- akipenda kusema JPM rip.
Mzee wa BAPA kashasema so kaeni kimya!!
 
Una jazba wewee [emoji1787][emoji1787]

Naona unatafuta "punching bag" ufike "org....m" [emoji1787]

Unapwagaza ARGUMENTUM AD HOMINEM kwa baba mchungaji Lusekelo kisa tu yuko kinyume na maoni yako....saaalaaleeee[emoji1787]
Wee mke wa mwarabu umerudi tena?
 
Back
Top Bottom