Mawazo mfu hayo. They are citizens like you and being affected by corrupt government deeds!Sheria za mapadri wazitumie kanisani
Mambo ya serikali waiachie serikali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mawazo mfu hayo. They are citizens like you and being affected by corrupt government deeds!Sheria za mapadri wazitumie kanisani
Mambo ya serikali waiachie serikali
Formation of Priests
The journey toward the priesthood is long and difficult, requiring many years of training. If we take the educational journey of one boy to priesthood in Tanzania today, this is how his journey will be:
1. 1-2 years kindergarten
2. 7 years primary education (grade school)
3. 6 years Minor seminary or secondary school English system is comprised of 4 years
4. Ordinary level and 2 years Advanced level. The Moshi Diocese minor seminary is St.
5. James Minor Seminary in Kilema, Moshi.
6. One year spiritual formation prior to entering the major seminary:St. Charles Lwanga-Karanga
7. Formation Center.
3 years studying philosophy, psychology, scriptures, spirituality, and liturgy Our Lady of the Angels Major Seminary - Kibosho, Moshi Diocese St. Anthony Major Seminary - Ntungamo, Bukoba Diocese
8. 4 years studying TheologySt. Paul Major Seminary - Kipalapala, Tabora RegionSt. Charles Lwanga Major Seminary - Segerea, Dar Es Salaam ArchdioceseSt. Augustine of HIppo Major Seminary - Songea Region
9. One year pastoral internship or field work which includes Ordination as Deacon six months prior to the end of seminary training
Ordination to the Roman Catholic Priesthood!!
Mipango ya kuuza nchi ikizuiwa kuna ubaya gani? Chizi sana hili jamaaKwa hakika haupo udini hapa!
Amesema "Naongea mambo ya moyoni sikurupuki, sijakurupuka. Haya ninayoongea yatabaki kwenye hansadi mbele za Mungu na katika historia ya nchi hii."
Ameongeza "Wanalalamika kuwa tumetoa Waraka na haujasomwa kwenye vyombo vya habari vya kimataifa. Nani atasoma waraka unaopinga Serikali? Waraka unadalilisha, unadhoofisha mipango ya Serikali. Mimi sizungumzii kama ni mizuri au mbaya, mambo ya mizuri au mibaya tumewaachia CHADEMA, CUF na TPL na Mwambukusi, wataongea Siasa zao huko"
View attachment 2725036
Hiiiiiii bagosha! -- akipenda kusema JPM rip.
Safi kabisa, hoja kwa hoja. Watu wanatoa hoja halafu badala ya kujibu hoja wanaanza mambo ya kuchanganya nini na nini sijui
Hapo sasa waulize wanao bandua na kubanduliwa.............Na hawa Jee wanaobanduana , milango ya geti iko wazi ??
In the book, "The Changing Face of the Priesthood," the Rev. Donald B. Cozzens suggests that the priesthood is, or is becoming, a gay profession
Yani hata wawalete kina nani, sisi tuko na TEC.
Kuna siku alitoa mahubiri eti alienda mwananyamala hospital wakamkuta na TB akafanya maombi akapona. Tapeli levi sugu hili. Hapo anakula kunde kashayakanyaga.Huyu ni mlevi wa pombe kali sugu. Sijuinhata hao waumini wake wana nini sehemu inayostahili kuwa na ubongo.
Katika kila kundi ,iwe makanisani,podapoda,katika vyama vya siasa,misikitini,wafanya biashara,vyuoni,wakulima,wanafunzi,waalimu,madereva,waandishi wahabari,wanamziki,wasanii and e.t.c wapo ambayo wanatumika kama state agents .Mission yao kubwa ni kusupport the government of the day pale ambapo kundi husika linapoikosoa serikali huu ya jambo flani,wao wataibuka na kujidai wanalaani kilichofanyika na kwamba huo sio msimamo wao. ili Ku destabilise situation .
Hapo sasa waulize wanao bandua na kubanduliwa.............
.
Hilo jina tu hauoni linasema elimu yake?Hivi mzee wa upako ana elimu gani?
Eleza kati ya Ushoga na Bandari lipi ni tatizo kubwa na ni lipi ni chukizo kwa Mwenyezi Mungu. Ni kwanini TEC hawatoi waraka kupinga Ushoga?!.Mzee wa upako hana sifa ya kuchallenge waraka wa TEC....
Eleza kati ya Ushoga na Bandari lipi ni tatizo kubwa na ni lipi ni chukizo kwa Mwenyezi Mungu. Ni kwanini TEC hawatoi waraka kupinga Ushoga?!.
Jibu ni kwamba HAWARAKI KUWAUDHI WAZUNGU AMBAO NDIO WAFADHILI WAO.
NA NDIO HUU UNAFIKI TUNAOUZUNGUMZIA