Mzee wa Upako: Waraka wa TEC unadhoofisha mipango ya Serikali, haijalishi mipango hiyo ni mizuri au mibaya

Mzee wa Upako: Waraka wa TEC unadhoofisha mipango ya Serikali, haijalishi mipango hiyo ni mizuri au mibaya

Mnajing'atang'ata tu mnapoambiwa kukemea ushoga kwa nguvu zote. TEC inashindwa nini kujitokeza hadharani kupinga ushoga na kuishinikiza serikali nayo ijitokeze waziwazi kupinga kama alivyofanya Museven. Mnaogopa nini
Serikali (katiba) ya Tanzania haijakubali ushoga
Na Serikali haija onesha dalili za kutaka kupeleka mswada bungeni ili turekebishe sheria zinazopingana na ushoga
kwani wapi imeandikwa kanisa linahukumu
Hukunielewa
Nilimjibu jamaa hapo juu aliyedai kwann TEC hawatoa waraka kuhusu ushoga.
 
Serikali (katiba) ya Tanzania haijakubali ushoga.
Na Serikali haija onesha dalili za kutaka kupeleka mswada bungeni ili turekebishe sheria zinazopingana na ushoga.
Je ni lini serikali ilikataa ushoga hadharani au mbele ya vyombo vya habari, jiulizwe ni kwanini Serikali inakaa kimya kuonyesha inasimamia wapi(kukataa au kukubali), ni kwanini inakwepa kutoa tamko hadharani. Unakumbuka hata alipokuja yule Mama Makamu wa Rais wa Marekani uliona jinsi walivyoepuka Maswali ya wanahabari, hawakutoa nafasi ya Maswali na kubwa zaidi ni kukwepa Maswali yanayolenga msimamo wa serikali juu ya mambo hayo.
Tafsiri ya kukwepa kuonyesha msimamo tayari NI JIBU TOSHA.
HIVYO NAO TEC KWANINI WASIONYESHE MSIMAMO WA KANISA WAZIWAZI KUHUSU MAMBO HAYO YANAYOSHINIKIZWA NA WAZUNGU TUYAKUBALI
 
Je ni lini serikali ilikataa ushoga hadharani au mbele ya vyombo vya habari, jiulizwe ni kwanini Serikali inakaa kimya kuonyesha inasimamia wapi(kukataa au kukubali), ni kwanini inakwepa kutoa tamko hadharani. Unakumbuka hata alipokuja yule Mama Makamu wa Rais wa Marekani uliona jinsi walivyoepuka Maswali ya wanahabari, hawakutoa nafasi ya Maswali na kubwa zaidi ni kukwepa Maswali yanayolenga msimamo wa serikali juu ya mambo hayo.
Tafsiri ya kukwepa kuonyesha msimamo tayari NI JIBU TOSHA.
HIVYO NAO TEC KWANINI WASIONYESHE MSIMAMO WA KANISA WAZIWAZI KUHUSU MAMBO HAYO YANAYOSHINIKIZWA NA WAZUNGU TUYAKUBALI
Kwann unataka TEC watoe tamko kuhusu ushoga?
Kwann sio BAKWATA au madhehebu mengine?
Acha kurukaruka tuambie ubaya wa kilichoandikwa kwenye waraka wa TEC. Hatuhitaji hisia zako.
 
Ni kweli DP World si udini ila kwanini kunatajwa dini?

Mmesahau chadema kwenye hoja zao ndio walianza kueka udini apo walibugi mnoo
Issue ya bandari ilikua wote wanapiga kelele ila walipoanza kutoa kauli za udini hapo hapo seeikali nayo ikapata chance ya kutokea
 
Kwa hakika haupo udini hapa!

Amesema "Naongea mambo ya moyoni sikurupuki, sijakurupuka. Haya ninayoongea yatabaki kwenye hansadi mbele za Mungu na katika historia ya nchi hii."

Ameongeza "Wanalalamika kuwa tumetoa Waraka na haujasomwa kwenye vyombo vya habari vya kimataifa. Nani atasoma waraka unaopinga Serikali? Waraka unadalilisha, unadhoofisha mipango ya Serikali. Mimi sizungumzii kama ni mizuri au mbaya, mambo ya mizuri au mibaya tumewaachia CHADEMA, CUF na TPL na Mwambukusi, wataongea Siasa zao huko"

View attachment 2725036

Hiiiiiii bagosha! -- akipenda kusema JPM rip.
Konyagi inaongea......
 
Mmesahau chadema kwenye hoja zao ndio walianza kueka udini apo walibugi mnoo
Issue ya bandari ilikua wote wanapiga kelele ila walipoanza kutoa kauli za udini hapo hapo seeikali nayo ikapata chance ya kutokea

Kwa hiyo hawa wasilaumiwe?

 
Kwann unataka TEC watoe tamko kuhusu ushoga?
Kwann sio BAKWATA au madhehebu mengine?
Acha kurukaruka tuambie ubaya wa kilichoandikwa kwenye waraka wa TEC. Hatuhitaji hisia zako.
Kama taasisi ya dini ambayo jukumu lake la msingi ni Mambo ya Kiroho na kuishi maisha yenye kumpendeza Mungu. Je, kati ya DP World na Ushoga ni kipi kingekuwa cha kwanza kukemea HADHARANI.

Hebu fanyeni kazi ya Mungu na Muache UNAFIKI
 
Kwa hakika haupo udini hapa!

Amesema "Naongea mambo ya moyoni sikurupuki, sijakurupuka. Haya ninayoongea yatabaki kwenye hansadi mbele za Mungu na katika historia ya nchi hii."

Ameongeza "Wanalalamika kuwa tumetoa Waraka na haujasomwa kwenye vyombo vya habari vya kimataifa. Nani atasoma waraka unaopinga Serikali? Waraka unadalilisha, unadhoofisha mipango ya Serikali. Mimi sizungumzii kama ni mizuri au mbaya, mambo ya mizuri au mibaya tumewaachia CHADEMA, CUF na TPL na Mwambukusi, wataongea Siasa zao huko"

View attachment 2725036

Hiiiiiii bagosha! -- akipenda kusema JPM rip.
Mipango mibovu na kuwanyonya wananchi ikidhofishwa kuna shida gani
 
Back
Top Bottom