Mzee wa Upako: Waraka wa TEC unadhoofisha mipango ya Serikali, haijalishi mipango hiyo ni mizuri au mibaya

Mzee wa Upako: Waraka wa TEC unadhoofisha mipango ya Serikali, haijalishi mipango hiyo ni mizuri au mibaya

We mzee wa Upako (upako usio nao) TEC ni taasisi kubwa, kongwe na makini - sio ki kampuni chako cha kukwapulia watu sadaka kila jpili.
 

Pope Francis says laws criminalising LGBT people are a 'sin' and an injustice​

By Philip Pullella
February 6, 20234:15 PM GMT+1Updated 7 months ago


ABOARD THE PAPAL PLANE, Feb 5 (Reuters) - Pope Francis said on Sunday that laws criminalising LGBT people are a sin and an injustice because God loves and accompanies people with same-sex attraction.

Francis, who made his remarks in response to a reporter's question aboard the plane returning from a two-country trip to Africa, received full backing of his comments from two other Christian leaders on the plane with him.

"The criminalisation of homosexuality is a problem that cannot be ignored," said Francis, who then cited unnamed statistics according to which 50 countries criminalise LGBT people "in one way or another" and about 10 others have laws including the death penalty for them.
Kazi ya kanisa ni kuonya mabaya sio kuhukumu
 
Eleza kati ya Ushoga na Bandari lipi ni tatizo kubwa na ni lipi ni chukizo kwa Mwenyezi Mungu. Ni kwanini TEC hawatoi waraka kupinga Ushoga?!.

Jibu ni kwamba HAWARAKI KUWAUDHI WAZUNGU AMBAO NDIO WAFADHILI WAO.
NA NDIO HUU UNAFIKI TUNAOUZUNGUMZIA
Watoe waraka kwani serikali imeruhusu ushoga kupitia bunge?
Sheria zetu zinaruhusu ushoga?
 
Watoe waraka kwani serikali imeruhusu ushoga kupitia bunge?
Sheria zetu zinaruhusu ushoga?
Mnajing'atang'ata tu mnapoambiwa kukemea ushoga kwa nguvu zote. TEC inashindwa nini kujitokeza hadharani kupinga ushoga na kuishinikiza serikali nayo ijitokeze waziwazi kupinga kama alivyofanya Museven. Mnaogopa nini
 
Konyagi inaongea...kuna dada alikuwa anamtifua Ubungo Msewe mwambieni anamsalimia. Hakuna hata moja la maana aliliongea Pampula huyo.
Mbona wadada wa Padre Dk. Mtoa Waraka waliopo Nyegezi kule Mwanza tunawajua na tupo kimya? Tuwataje?
 
Mahusiano ya kanisa na dola au serikali ya kimaendeleo, tiba ya jamii na kisera ili kuifanya nchi isonge mbele, wamechambua na kutafakari hivyo walichofanya ni kuishauri serikali kwa kutimiza wajibu wao, na sidhani km serikali inakerwa ki hivyo, wanasiasa kwa maslahi ya kura wanaweza kukereka.
 
Mahusiano ya kanisa na dola au serikali ya kimaendeleo, tiba ya jamii na kisera ili kuifanya nchi isonge mbele, wamechambua na kutafakari hivyo walichofanya ni kuishauri serikali kwa kutimiza wajibu wao, na sidhani km serikali inakerwa ki hivyo, wanasiasa kwa maslahi ya kura wanaweza kukereka.
Wachina wanashauriwa na dini gani?
 
Mnajing'atang'ata tu mnapoambiwa kukemea ushoga kwa nguvu zote. TEC inashindwa nini kujitokeza hadharani kupinga ushoga na kuishinikiza serikali nayo ijitokeze waziwazi kupinga kama alivyofanya Museven. Mnaogopa nini
Serikali (katiba) ya Tanzania haijakubali ushoga.
Na Serikali haija onesha dalili za kutaka kupeleka mswada bungeni ili turekebishe sheria zinazopingana na ushoga.
 
We mzee wa Upako (upako usio nao) TEC ni taasisi kubwa, kongwe na makini - sio ki kampuni chako cha kukwapulia watu sadaka kila jpili.
Huyu jamaa ameenda kushambulia wengine bila kuchambua vipengele vya mkataba wa bandari
Inaonesha ana chuki binafsi na wakatiloki

Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom