Tajiri mkopeshaji
JF-Expert Member
- Dec 24, 2022
- 613
- 1,445
Mlevi mlevi mlevi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi ya kanisa ni kuonya mabaya sio kuhukumu
Pope Francis says laws criminalising LGBT people are a 'sin' and an injustice
By Philip Pullella
February 6, 20234:15 PM GMT+1Updated 7 months ago
ABOARD THE PAPAL PLANE, Feb 5 (Reuters) - Pope Francis said on Sunday that laws criminalising LGBT people are a sin and an injustice because God loves and accompanies people with same-sex attraction.
Francis, who made his remarks in response to a reporter's question aboard the plane returning from a two-country trip to Africa, received full backing of his comments from two other Christian leaders on the plane with him.
"The criminalisation of homosexuality is a problem that cannot be ignored," said Francis, who then cited unnamed statistics according to which 50 countries criminalise LGBT people "in one way or another" and about 10 others have laws including the death penalty for them.
Watoe waraka kwani serikali imeruhusu ushoga kupitia bunge?Eleza kati ya Ushoga na Bandari lipi ni tatizo kubwa na ni lipi ni chukizo kwa Mwenyezi Mungu. Ni kwanini TEC hawatoi waraka kupinga Ushoga?!.
Jibu ni kwamba HAWARAKI KUWAUDHI WAZUNGU AMBAO NDIO WAFADHILI WAO.
NA NDIO HUU UNAFIKI TUNAOUZUNGUMZIA
Mnajing'atang'ata tu mnapoambiwa kukemea ushoga kwa nguvu zote. TEC inashindwa nini kujitokeza hadharani kupinga ushoga na kuishinikiza serikali nayo ijitokeze waziwazi kupinga kama alivyofanya Museven. Mnaogopa niniWatoe waraka kwani serikali imeruhusu ushoga kupitia bunge?
Sheria zetu zinaruhusu ushoga?
🤣🤣Hatusikilizi waleviMlevi mlevi mlevi
Mbona wadada wa Padre Dk. Mtoa Waraka waliopo Nyegezi kule Mwanza tunawajua na tupo kimya? Tuwataje?Konyagi inaongea...kuna dada alikuwa anamtifua Ubungo Msewe mwambieni anamsalimia. Hakuna hata moja la maana aliliongea Pampula huyo.
🤣🤣🤣Unawajua?Mbona wadada wa Padre Dk. Mtoa Waraka waliopo Nyegezi kule Mwanza tunawajua na tupo kimya? Tuwataje?
Rifiji dam unamjua? Wewe unajulikana? Pumbavu!!!🤣🤣🤣Unawajua?
Mbona we hujulikani?
We ni Nani?
Mbona hatukujui?
Jitambulishe basi
🤣🤣Huna maleziRifiji dam unamjua? Wewe unajulikana? Pumbavu!!!
Nimekulia kwa Mamaako. Muulize kuhusu mimi Mtoto wa Shule uone atakavyomwaga tabasamu!🤣🤣Huna malezi
Unatukana usowajua
Au umekulia dampo wewe?
Tujibishane kwa hoja 🙏Nimekulia kwa Mamaako. Muulize kuhusu mimi Mtoto wa Shule uone atakavyomwaga tabasamu!
Ahahahahaha!!!Tujibishane kwa hoja 🙏
Sijakulia mtaani
Nimelelewa kwenye misingi
Kushinda ya kwakoHivi mzee wa upako ana elimu gani?
Wachina wanashauriwa na dini gani?Mahusiano ya kanisa na dola au serikali ya kimaendeleo, tiba ya jamii na kisera ili kuifanya nchi isonge mbele, wamechambua na kutafakari hivyo walichofanya ni kuishauri serikali kwa kutimiza wajibu wao, na sidhani km serikali inakerwa ki hivyo, wanasiasa kwa maslahi ya kura wanaweza kukereka.
Serikali (katiba) ya Tanzania haijakubali ushoga.Mnajing'atang'ata tu mnapoambiwa kukemea ushoga kwa nguvu zote. TEC inashindwa nini kujitokeza hadharani kupinga ushoga na kuishinikiza serikali nayo ijitokeze waziwazi kupinga kama alivyofanya Museven. Mnaogopa nini
Huyu jamaa ameenda kushambulia wengine bila kuchambua vipengele vya mkataba wa bandariWe mzee wa Upako (upako usio nao) TEC ni taasisi kubwa, kongwe na makini - sio ki kampuni chako cha kukwapulia watu sadaka kila jpili.
Kazi ya kanisa ni kuonya mabaya sio kuhukumu