macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Ushoga watoe waraka ndiyo umeenza leo? Yesu alishatoa waraka kupitia Biblia takatifu!Kuna ukweli hawa maaskofu nao Mbona suala la ushoga hawajatoa waraka?kama kweli wanalipenda hili Taifa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushoga watoe waraka ndiyo umeenza leo? Yesu alishatoa waraka kupitia Biblia takatifu!Kuna ukweli hawa maaskofu nao Mbona suala la ushoga hawajatoa waraka?kama kweli wanalipenda hili Taifa?
Hawa wamefuatwa na wapambe wa mwarabu na kuombwa wapinge. Ni wajinga sana hawa watu. Wanadhani watafanya wakristo waonekane wanapingana. Hawajui kuwa hili linazidi kufanya serikali iwe kwenye hali mbaya.Huyu kama mwezi mchanga, Kuna wakati anaongea point, lakini Kwa hili la mkataba hayuko sawa. TEC waraka wao hauzungumzii dini, unazungumzia rasilimali zetu za Taifa kukabidhiwa wageni haiko sawa. Bandari ni geti la nyumba, huwezi kumkabidhi geti la nyumba mgeni akulindie, halafu ukija awe na maamuzi ya kukufungulia au la ukae nje, hapo Sasa ni kwako? Waraka wa TEC upo sawa na umewatoa nyoka wengi pangoni.
Kwa hakika haupo udini hapa!
Amesema "Naongea mambo ya moyoni sikurupuki, sijakurupuka. Haya ninayoongea yatabaki kwenye hansadi mbele za Mungu na katika historia ya nchi hii."
Ameongeza "Wanalalamika kuwa tumetoa Waraka na haujasomwa kwenye vyombo vya habari vya kimataifa. Nani atasoma waraka unaopinga Serikali? Waraka unadalilisha, unadhoofisha mipango ya Serikali. Mimi sizungumzii kama ni mizuri au mbaya, mambo ya mizuri au mibaya tumewaachia CHADEMA, CUF na TPL na Mwambukusi, wataongea Siasa zao huko"
View attachment 2725036
Hiiiiiii bagosha! -- akipenda kusema JPM rip.
Na wao watoe waraka,hayo ya bandari wawaachie wanasheriaUshoga watoe waraka ndiyo umeenza leo? Yesu alishatoa waraka kupitia Biblia takatifu!
Ignore these stupid self-proclaimed bishops!Kwa hakika haupo udini hapa!
Amesema "Naongea mambo ya moyoni sikurupuki, sijakurupuka. Haya ninayoongea yatabaki kwenye hansadi mbele za Mungu na katika historia ya nchi hii."
Ameongeza "Wanalalamika kuwa tumetoa Waraka na haujasomwa kwenye vyombo vya habari vya kimataifa. Nani atasoma waraka unaopinga Serikali? Waraka unadalilisha, unadhoofisha mipango ya Serikali. Mimi sizungumzii kama ni mizuri au mbaya, mambo ya mizuri au mibaya tumewaachia CHADEMA, CUF na TPL na Mwambukusi, wataongea Siasa zao huko"
View attachment 2725036
Hiiiiiii bagosha! -- akipenda kusema JPM rip.
Mapadre ni wanasheria... canon Law wanasoma ab many other law disciplines! Kumbe tunabishana na darasa la sabaNa wao watoe waraka,hayo ya bandari wawaachie wanasheria
Wana upenda ndiyo maana hawapingi.Binafsi nimekubali hoja moja ya Mzee wa Upako. Je ni kwanini TEC hawajawahi kuandaa waraka wa kupinga Masuala ya ushoga duniani?? Kama hawajawahi kupinga hadharani Masuala ya ushoga basi tutawatathimini kwamba wameamua kuyapa kipaumbeli Mambo ya Kimwili kuliko yale ya Kiroho.
BINAFSI SINA SHIDA KWA TAMKO, LAKINI KUHUSU YALE YANAYOMCHUKIZA MWENYEZI MUNGU AMBAYO SERIKALI KUBWA DUNIANI ZINATAKA KILA NCHI IHALALISHE NADHANI HAPA TEC WANGEANDAA WARAKA KUPINGA UCHUFU HUU. JE NI KWANINI HAWAKUWAHI KUFANYA HIVYO???
Sheria za mapadri wazitumie kanisaniMapadre ni wanasheria... canon Law wanasoma ab many other law disciplines! Kumbe tunabishana na darasa la saba
Mapadre ni wanasheria... canon Law wanasoma ab many other law disciplines! Kumbe tunabishana na darasa la saba
Uliwasomesha wewe ??Mapadre ni wanasheria... canon Law wanasoma ab many other law disciplines! Kumbe tunabishana na darasa la saba
Na hawa Jee wanaobanduana , milango ya geti iko wazi ??Kwa mnao mfata huyu jamaa .......mbinguni mnaweza kufika lakini mkaishia Getini.........huyu mnafiki sana............ndio maana kagame Alifuta hizi saccos
Formation of PriestsUliwasomesha wewe ??