Me I and my self
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,077
- 8,828
Huyo ni mnafiki waraka wa TEC hata kama hawakuusoma vyombo vya habari umetufikia kupitia kanisa na sisi tunausambaza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si na yeye atoe wa kwakeKwa hakika haupo udini hapa!
Amesema "Naonge mambo ya moyoni sikurupuki, sijakurupuka. Haya ninayoongea yatabaki kwenye ansadi mbele za Mungu na katika historia ya nchi hii."
Ameongeza "Wanalalamika kuwa tumetoa Waraka na haujasomwa kwenye vyombo ya habari vya kimataifa. Nani atasoma waraka unapinga Serikali? Waraka unadalilisha, unadhoofisha mipango ya Serikali. Mimi sizungumzii kama ni mizuri au mibaya mambo ya mizuri au mibaya tumewaachia CHADEMA, CUF na TPL na Mwambukusi, wataongea Siasa zao huko"
View attachment 2725036
Hiiiiiii bagosha! -- akipenda kusema JPM rip.
Ana Elimu ya kuwatapele Wamama wa Vikoba kwa kuwaambia wapande kwake Mihela ili wavune Mihela.Hivi mzee wa upako ana elimu gani?
Woooh![emoji122][emoji122][emoji122]Elimu yake nenda kanisani kwake. Au ungeanza kwa kujitambulisha wewe na elimu yako kwanza, ili uwe na haki ya kuuliza elimu za wengine.
Hapa JF tunajadili hoja.
Hawajapotoka kwenye waraka.Nchi hii ni ya amani...
Pamoja na kuwashangaa maaskofu wetu wa TEC katika kupinga mkataba huu ila bado watabaki kuwa viongozi wetu adhimu wa kuheshimiwa haswa na pia ni watanzania wenzetu..
Wamepotoka katika hilo la mkataba na DP WORLD mengine huwa wanapatia na wataendea kupatia[emoji120]
Yahweh aendelee kuwaongezea busara maaskofu wetu wa TEC ,aamen [emoji120]
#YetzerHatov[emoji120]
#DoNotDoHarm[emoji120]
Kwa hakika haupo udini hapa!
Amesema "Naonge mambo ya moyoni sikurupuki, sijakurupuka. Haya ninayoongea yatabaki kwenye ansadi mbele za Mungu na katika historia ya nchi hii."
Ameongeza "Wanalalamika kuwa tumetoa Waraka na haujasomwa kwenye vyombo ya habari vya kimataifa. Nani atasoma waraka unapinga Serikali? Waraka unadalilisha, unadhoofisha mipango ya Serikali. Mimi sizungumzii kama ni mizuri au mibaya mambo ya mizuri au mibaya tumewaachia CHADEMA, CUF na TPL na Mwambukusi, wataongea Siasa zao huko"
View attachment 2725036
Hiiiiiii bagosha! -- akipenda kusema JPM rip.
Form four failure, alikua muuza mitumba iringa akaja,pesa kapatia kwenye upako dar wakiwa wapigaji wa mwanzo mwanzoHivi mzee wa upako ana elimu gani?
Kuteka akili za wafu kule ndio rahisi kuwapataNi kweli DP World si udini ila kwanini kunatajwa dini?
Mzee wa k-vant na konyagi.Kwa hakika haupo udini hapa!
Amesema "Naonge mambo ya moyoni sikurupuki, sijakurupuka. Haya ninayoongea yatabaki kwenye ansadi mbele za Mungu na katika historia ya nchi hii."
Ameongeza "Wanalalamika kuwa tumetoa Waraka na haujasomwa kwenye vyombo ya habari vya kimataifa. Nani atasoma waraka unapinga Serikali? Waraka unadalilisha, unadhoofisha mipango ya Serikali. Mimi sizungumzii kama ni mizuri au mibaya mambo ya mizuri au mibaya tumewaachia CHADEMA, CUF na TPL na Mwambukusi, wataongea Siasa zao huko"
View attachment 2725036
Hiiiiiii bagosha! -- akipenda kusema JPM rip.
F4 failure, sema ni jangili lazima ajibane kwenye serikali kusifiaHivi mzee wa upako ana elimu gani?
Kwa hivyo madai yako sio ya kweli kwamba hakuna udini? Au ile kauli yako ya 1+1=2 sio ya kweli sasa kama tulivyojenga hoja?Kunatajwa dini na watu wasiokuwa na hoja. Utalazimisha wasiokuwa na hoja wawe nazo?
Angalia Mzee huyu au huyu hapa, nini tofauti yao?
View attachment 2725149
Yeye amejibu hoja za TEC au na kashambulia tu ?!.Ukiwa unapinga ndio una elimu?
Jibizaneni kwa hoja
Kwa hivyo madai yako sio ya kweli kwamba hakuna udini? Au ile kauli yako ya 1+1=2 sio ya kweli sasa kama tulivyojenga hoja?