Mzee wake ndiye aliyempa zawadi ya muhimu kuliko zote, ndiyo silaha yake kwa sasa

Mzee wake ndiye aliyempa zawadi ya muhimu kuliko zote, ndiyo silaha yake kwa sasa

Miaka hiyo Diamond Jubillee,mzee mmoja alikuja na kamba ya ngombe km zawadi Ya harusi
Kijana wake alikua kachukua tu PHD UK anaoa.
wazazi wa binti wakaja na funguo za kutosha za magari,nyumba,kila kitu.
Aibu niliona mimi,
Umaskini mbaya sana
Nafkiri haikudumu ile ndoa.
 
Miaka hiyo Diamond Jubillee,mzee mmoja alikuja na kamba ya ngombe km zawadi Ya harusi
Kijana wake alikua kachukua tu PHD UK anaoa.
wazazi wa binti wakaja na funguo za kutosha za magari,nyumba,kila kitu.
Aibu niliona mimi,
Umaskini mbaya sana
Nafkiri haikudumu ile ndoa.
Ipo haja ya kupima akili za mpenz wako kabla ya kumpima ukimwi.
Fuata kanuni hizi ili tujiepushe na ndoa feki.

PENDA WATU, USIPENDE VITU.
TUMIA VITU, USITUMIE WATU.

Hadi hivi sasa nineshablock wanawake na marafiki wanaopenda vitu. What I knw material things last.... na vikiisha nitakosa mahusiano na watu mafala kama hao.
 
Back
Top Bottom