Tikiti maji na mayai ya kwareVanilla itampendeza zaidi
Fixed deposit ni nzuri zaidi kwake.Fixed account na Utt amis zote sawa ...Fixed account faida ndogo ila no risk..
Utt amis miaka kadhaa hisa zinaweza kushuka
Jipige pige kifua mara 3Tikiti maji na mayai ya kware
Hahaha mkuu hupo?Jipige pige kifua mara 3
Jielimishe kuhusu UTT ni nini na mmiliki ni nani. Pia utuambie ni biashara gani ambayo itabaki salama baada ya huo mtikisiko wa kidunia ili watu wawekeze kwenye hyo biashara.UTT hii mbeleni naona kuna watu watatoa machozi
Sababu hisa zinaweza shuka...vilevile ongezeko na migogoro duniani na hizi pandemic desease
Kunaweza kuleta mtikisiko wa uchumi kidunia
Nipo mkuuHahaha mkuu hupo?
Asante sana mkuu nimekupata vema kabisa. Nadhani nitaliangalia na kulichunguza vema kabisa.Utt uwekezaji wa muda mrefu let say 10+ anaweza kuwa anaingiza 10% ya akichowekeza kwa nwaka. Sasa kwa hiyo 30M kwa mwaka anaweza kuwa anapata gawio la 3M ambayo kila mwezi atakuwa anaingiza 250,000. So ukitaka aingize let say 500,000 lazima aongeze mpunga ufike 60M
Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
HAya tuendelee hii comment siku utaitafutaJielimishe kuhusu UTT ni nini na mmiliki ni nani. Pia utuambie ni biashara gani ambayo itabaki salama baada ya huo mtikisiko wa kidunia ili watu wawekeze kwenye hyo biashara.
Hapana mkuu. Ni kweli mkuuMkuu nahisi Wala huyo mshua wako hajakuomba umfanyie namna ya kunufaika na hayo malipo ya uzeeeni. Bali wewe ndiyo unazipigia hesabu hizo Hela unufaike nazo au wewe ndiye huyo Mzee mwenyewe.
Kama unazipigia hesabu hizo Hela aibu na iwe kwako.
Factor zipo nyingi sana sera za nchi pia sio rafiki mamlaka wanaweza kuingia na kuchota fedha then wakabadili sheriaKuna watu wameongeza thamani ya mfumo kwa kuingiza pesa ndefu haswa bllion na kitu..
Hawa jamaa siku watatoa na thamani ya kipande itashuka kwa vile speculation upande wa kununua itakuwa chini....Sasa hapa wabongo watajua wamepigwa kumbe hawana uelewa wa soko la hisa ngoja tuone
Unadhani wapi kuna usalama? Kama serikali ikiamua kukufikia huna uwezo wa kukimbia. Umesahau kipindi hicho pia cha awamu ya Tano account za watu zilikuwa zinazuiliwa ama kuchotwa pesa? Hivyo basi utawala ukiamua kufanya lolote huna utakacho zuia.HAya tuendelee hii comment siku utaitafuta
Km waanzilishi wa mifumo ya bank wenyewe waliwai kuliwa kichwa rothchild banks .sembuse Huu mfuko pili sera zetu sio rafiki rejea utawala wa awamu ya tano ...watu wengi waliyumba sababu serkali kuchota fedha rejea mr kuku
But kumbuka pesa zinazochotwa ni bulk km hizo UttUnadhani wapi kuna usalama? Kama serikali ikiamua kukufikia huna uwezo wa kukimbia. Umesahau kipindi hicho pia cha awamu ya Tano account za watu zilikuwa zinazuiliwa ama kuchotwa pesa? Hivyo basi utawala ukiamua kufanya lolote huna utakacho zuia.