Mzee wangu kaacha dawa za presha presha yake Iko 200/93 pr 46

Mzee wangu kaacha dawa za presha presha yake Iko 200/93 pr 46

Akipata stroke ni atawafilisi au atakufa nebdeni hospital haraka sana, stroke inakuwa kama mmepata mtoto mchanga anafanyiwa kila kitu yani uache kazi ili umhudumie maisha yake yote yaliyobaki
Hapana mkuu stroke inapoka ukitumia tiba mbadala
 
Habar wakuu ushauri wenu tafadhali Mzee wangu amekalua akitumia dawa za presha kwa miaka9 Sasa .hivi karibuni kaacha kutumia dawa,inaweza kuwa ni mda miezi kadhaa tangu aache,Sasa hivi presha yake inasoma hivo mda wote 200-199/90-97 pr 50-45..nin chakufanya nikama Hana mpango wakurudia kuzitumia, nb naalisha fanyiwa uporesheni ya kuzibua mshipa wa moyo ulioziba imepita kama miaka miwili afanyiwe hiyo operation
Ushauri wenu wadau

Pole sana.

Kwa hiyo presha yuko kwenye hatari ya kupata madhara mbalimbali kama vile kiharusi (stroke), figo na moyo kufeli, nk.

Ni muhimu akashauriana na daktari wake kabla ya kufikia uamuzi wa kuacha kutumia dawa.

Kila la kheri.
 
Shida ni kwamba anaweza akapigwa na 'stroke' halafu akaanza kuwapa shughuli ya kumhudumia upyaaaaa....ingekuwa uhakika kwamba "ataamsha" chap kwa haraka hapo ungesema poa tu wamkaushie!.
Hili nalo neno...
 
Habar wakuu ushauri wenu tafadhali Mzee wangu amekalua akitumia dawa za presha kwa miaka9 Sasa .hivi karibuni kaacha kutumia dawa,inaweza kuwa ni mda miezi kadhaa tangu aache,Sasa hivi presha yake inasoma hivo mda wote 200-199/90-97 pr 50-45..nin chakufanya nikama Hana mpango wakurudia kuzitumia, nb naalisha fanyiwa uporesheni ya kuzibua mshipa wa moyo ulioziba imepita kama miaka miwili afanyiwe hiyo operation
Ushauri wenu wadau
Hali hiyo nguvu za kuja jf unazitoa wapi? Ungekuwa hospital sasa hii.
 
Muache ..ameshaona mengi ameamua kuwapunguzieni mizigo ....anataka kurudi kwa muumba wake ameshaamua huyo...augue pole mzazi.
Hata kama emeona mengi kutupunguzia mzigo sio kuacha dawa maana hapo nikuongeza tatizo Figo zitafeli alafu ndo mwanzo wakurudi kwenye dimbwi la umaskini maana matibabu ya Figo nighali mno nahutuwezi kuyamudu
 
Habar wakuu ushauri wenu tafadhali Mzee wangu amekalua akitumia dawa za presha kwa miaka9 Sasa .hivi karibuni kaacha kutumia dawa,inaweza kuwa ni mda miezi kadhaa tangu aache,Sasa hivi presha yake inasoma hivo mda wote 200-199/90-97 pr 50-45..nin chakufanya nikama Hana mpango wakurudia kuzitumia, nb naalisha fanyiwa uporesheni ya kuzibua mshipa wa moyo ulioziba imepita kama miaka miwili afanyiwe hiyo operation
Ushauri wenu wadau
Mchekeche fasta akuandikie wosiaa mwamba..sio kwa Nia mbaya...kujilinda wewe unaemtunxa lazima akuweke poa
 
Mkuu
Kawe
Sio mbali amini tu atapona
Mprleke akapewe maombi
Chukua maji na mafuta bk2 tu sawa na beer Moja

Atumiwe

Ama kama UKo mbezi
Nenda kwa kuhani mussa
Temboni
Shuka pale onana na kuhani mwaijabe ama yoyote mwelezw shida zako. Atakwambia cha kufanya
HAKIKA Mungu ajawahishindwa na Dady atapona n Jesus Name

Wish u all dbest quick recovery dady
 
Mkuu yupo kwenye clinici kwa muda qz
Hali hiyo nguvu za kuja jf unazitoa wapi? Ungekuwa hospital sasa hii.
[
Pole sana.

Kwa hiyo presha yuko kwenye hatari ya kupata madhara mbalimbali kama vile kiharusi (stroke), figo na moyo kufeli, nk.

Ni muhimu akashauriana na daktari wake kabla ya kufikia uamuzi wa kuacha kutumia dawa.

Kila la kheri.
Kaacha dawa
Hapana asiache kabisa,aendelee kutumia,dawa za presha zina mateso yake lakini asiache kabisa.Wapo walioacha na pressure ikashuka lakini kwa kesi hiyo aendelee tu kutumia na amuone daktari wake ampe ushauri mzuri...
Mkuu anatumia dawa takribani miaka9 Sasa..Sasa hivi karibuni Kuna mtu kamadanganya dawa zakienyeji kwaiyo akaacha dawa za hospital kama mwezi hvi hajatumia ndo kujua Jana kumpima presha Iko hivo ..adai kachoka kula dawa hvi kunishauri kaaanza kutumia Tena anatumia vidonge 7 Kila siku ...anadai mbona anatumia dawa alafu presha haishuki
 
Poleni,
Kitu kimoja cha kutambua:

1: Ni vyema mhusika afikishwe hospitali aanzishiwe tiba na kuangalia maendeleo yake kwa ujumla.

2: Kutambua kwa nini ameamua kusitisha dawa ili aweze kusaidiwa kurejea kwenye tiba akiwa na uelewa mzuri.

3: Kwa presha ya kiasi hicho, hili ni tatizo la kudumu maisha yake yote. Ni vyema kutambua kuwa hamezi dawa kwa sababu alianza dawa za presha au dawa za presha zinaongeza tatizo. Bali, tatizo hili kwa kiasi hiki kwake litakuwa la kudumu maisha yake yote.

4: Madhara ya presha kiasi hiki kuendelea kuwa juu inaweza kusababisha:
A: Kupata kiharusi/stroke
B: Kuumiza viungo vya mwili kama: figo/kufaili, moyo/shambulio la moyo, ini/kufaili, macho/uoni hafifu.

5: Presha kusoma sawa wakati unatumia dawa, maana yake ni matokeo ya dawa husika kufanya kazi vyema. Ukiacha kutumia dawa presha itapanda tena.

6: Tiba ya presha iambatane na mabadiliko ya kupunguza visababishi kama: kupunguza matumizi ya chumvi, kupunguza matumizi ya pombe, kuacha kuvuta sigara, kupunguza matumizi ya wanga, kufanya mazoezi mepesi.
1 yupo kwenye dawa za presha takribani miaka9 Sasa na mwaka juzi tu nkafanyiwa operation ya kuzibua mrija ktk moyo ulioziba..dawa ana mwezi kaacha Jana ndo kaanza Tena kunywa hizo dawa za presha
2.sababu yakuacha anadai amekunywa dawa amechoka maana anakunywa vidonge vingi ,anakunywa vidonge 7 Sasa anaona vingi sana na presha haishuki inachezea 170 akiwa kwenye dawa
2.anaclinic jkci miaka Sasa
4.vip unatushauri nin kuhusu kubadilisha daktar hapo jkci
5.je anatakiwa afanye uchunguzi wa Figo moyo,ini?
6. Alishawahi fanyiwa operation ya kuzibua mishipa kwenye moyo miaka 2 Sasa imepita
7. Unaweza tufahamisha daktar mzuri awe anamuatend,maana daktar huyu anaemuona hatuoni mabadiliko ktk presha ya Mzee kwa miaka sasa
 
Pole sana.

Kwa hiyo presha yuko kwenye hatari ya kupata madhara mbalimbali kama vile kiharusi (stroke), figo na moyo kufeli, nk.

Ni muhimu akashauriana na daktari wake kabla ya kufikia uamuzi wa kuacha kutumia dawa.

Kila la kheri.
Mkuu Mzee yupo ktk dawa kwa miaka9 Sasa na dawa kaacha kama mwezi mmoja mpaka kufika Jana ndo kaanza kuzinywa Tena anatumia vidonge 7 Sasa anaona vingi ndo sababu iliyosababisha aache na pia Kuna ndgu alimdanganya dawa yakienyeji
2.Anaclinic jkci
3.alishafanyiwa operation ya kuzibua mrija kwenye moyo hapo jkci kama miaka2 imepita
4.kunywa vidonge vingi takriban7 kwasiku napresha yake kuwa 160 haishuki kwa muda mrefu.ndo kumemchosha anadai mbona wangine wanakunywa 1 tu au 2 kwasiku napresha zao ziko normal
5 mkuu ushauri je abadilishe daktar wakumuatend? Je daktar Gani mzuri jkci mwenye uzoefu wa muda mrefu anaeweza akasaidia kumpa mabadiliko
 
Back
Top Bottom