malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
- Thread starter
- #41
Mkuu mgonjwa yupo kwenye clinic kwa miaka9 Sasa hapo jkciHali hiyo nguvu za kuja jf unazitoa wapi? Ungekuwa hospital sasa hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mgonjwa yupo kwenye clinic kwa miaka9 Sasa hapo jkciHali hiyo nguvu za kuja jf unazitoa wapi? Ungekuwa hospital sasa hii.
Mkuu msanga zalala ndio wapi huko na anapatikanajePresha is overrated kuna mtu Msanga Zalala ana dawa ya asili ya presha watu wanatumia na wanapona kabisa. Hizo dawa za kizungu zinaharibu figo
Anatibu presha na magonjwa GaniPresha is overrated kuna mtu Msanga Zalala ana dawa ya asili ya presha watu wanatumia na wanapona kabisa. Hizo dawa za kizungu zinaharibu figo
Mkuu anaweza Rudi tumia dawa zake bila kurudi kwa daktar ..maana anatumia vidonge 7 na presha walau huwa inakua 160 Sasa anaona kama vidonge vingi na presha haishukiSasa Unataka Ushauri Gani?
Kwanza Kabisa Ulipaswa kuona Red flag hizo na kuzifanyia kazi ikiwemo Kuwa Mkali kwa Mzee wako Maana Anakoelekea Ni kupata Cerebral Vascular Accident (CVA) Au kama wengine wanavyoita Stroke..
So jitahidi Umshauri arudi Kutumia Dawa
Ni hatari sana..
Na Kumbuka Hypertension Is The SILENT KILLER
Mkuu msaada wa mdau wa msanga zalala plsPresha is overrated kuna mtu Msanga Zalala ana dawa ya asili ya presha watu wanatumia na wanapona kabisa. Hizo dawa za kizungu zinaharibu figo
Jiandae kumchangia figo moja kama ni baba yako kweliHabar wakuu ushauri wenu tafadhali Mzee wangu amekalua akitumia dawa za presha kwa miaka9 Sasa .hivi karibuni kaacha kutumia dawa,inaweza kuwa ni mda miezi kadhaa tangu aache,Sasa hivi presha yake inasoma hivo mda wote 200-199/90-97 pr 50-45..nin chakufanya nikama Hana mpango wakurudia kuzitumia, nb naalisha fanyiwa uporesheni ya kuzibua mshipa wa moyo ulioziba imepita kama miaka miwili afanyiwe hiyo operation
Ushauri wenu wadau
1 yupo kwenye dawa za presha takribani miaka9 Sasa na mwaka juzi tu nkafanyiwa operation ya kuzibua mrija ktk moyo ulioziba..dawa ana mwezi kaacha Jana ndo kaanza Tena kunywa hizo dawa za presha
2.sababu yakuacha anadai amekunywa dawa amechoka maana anakunywa vidonge vingi ,anakunywa vidonge 7 Sasa anaona vingi sana na presha haishuki inachezea 170 akiwa kwenye dawa
2.anaclinic jkci miaka Sasa
4.vip unatushauri nin kuhusu kubadilisha daktar hapo jkci
5.je anatakiwa afanye uchunguzi wa Figo moyo,ini?
6. Alishawahi fanyiwa operation ya kuzibua mishipa kwenye moyo miaka 2 Sasa imepita
7. Unaweza tufahamisha daktar mzuri awe anamuatend,maana daktar huyu anaemuona hatuoni mabadiliko ktk presha ya Mzee kwa miaka sasa
Siku ukiuguliwa na mtu wa karib ndio utaelewa, hizo si kauli za kuongeaAmechagua; muacheni
Arudi JKCI na awe Mkweli Aseme pia kwamba Aliacha Dawa wafanyr vipimo Upya ECHO,ECG na Vingine vingi wataamua Ni dawa Gani wampatiaMkuu anaweza Rudi tumia dawa zake bila kurudi kwa daktar ..maana anatumia vidonge 7 na presha walau huwa inakua 160 Sasa anaona kama vidonge vingi na presha haishuki
Alishafanyiwa operation ya kuzibua mshipa wa moyo miaka2 nyuma hapo jkci
Mkuu ushauri wako vip abadilishe daktar wakumuatend na je daktar Gani mzuri mwenye uzoefu mkubwa hapo jkci
Mkuu Mzee yupo ktk dawa kwa miaka9 Sasa na dawa kaacha kama mwezi mmoja mpaka kufika Jana ndo kaanza kuzinywa Tena anatumia vidonge 7 Sasa anaona vingi ndo sababu iliyosababisha aache na pia Kuna ndgu alimdanganya dawa yakienyeji
2.Anaclinic jkci
3.alishafanyiwa operation ya kuzibua mrija kwenye moyo hapo jkci kama miaka2 imepita
4.kunywa vidonge vingi takriban7 kwasiku napresha yake kuwa 160 haishuki kwa muda mrefu.ndo kumemchosha anadai mbona wangine wanakunywa 1 tu au 2 kwasiku napresha zao ziko normal
5 mkuu ushauri je abadilishe daktar wakumuatend? Je daktar Gani mzuri jkci mwenye uzoefu wa muda mrefu anaeweza akasaidia kumpa mabadiliko