Muda wake ulikuwa haujafikaBaadhi ya watu hujiuliza kwa nini nchi za kiafrika haziendelei, fikiria, Warioba alikuwa mwandani wa Mzee Nyerere, mbona hakuwahi kumshauri katiba mpya, serikali tatu mpaka Nyerere kastaafu?.
Ameona yeye ameshazeeka na kuchoka ndio kaona awavurugie wenzake? Mbona hakujiuzuru vyeo vyake ? Au ndio akili zinakuja uzeeni.
Huyu Mzee alishakuwa mwanasheria mkuu, Waziri Mkuu.....vyeo vinajaa treni
Wakati ndio sasa
πππππππWakitoka madarakani ndio wanakuwa na busara.
Hiwezi kuwasilishs hoja bila matusi?Warioba hakuamka kwake na kuanzisha mchakato wa katiba huu mchakato umeanzishwa na watanzania yeye alitumwa kulishughulikia hilo swala,mjinga wewe
Chadema waliwahi kuingia mtaani na kuwamezesha watz maoni ya katiba ndo hicho unachokiona alichokiwasilisha Warioba
upumbavu ni kipaji kama ilivyo urefu na ufupi. itoshe kusema kuwa wewe ni mpumbavu wa kiwango cha juu sana!Baadhi ya watu hujiuliza kwa nini nchi za kiafrika haziendelei, fikiria, Warioba alikuwa mwandani wa Mzee Nyerere, mbona hakuwahi kumshauri katiba mpya, serikali tatu mpaka Nyerere kastaafu?.
Ameona yeye ameshazeeka na kuchoka ndio kaona awavurugie wenzake? Mbona hakujiuzuru vyeo vyake ? Au ndio akili zinakuja uzeeni.
Huyu Mzee alishakuwa mwanasheria mkuu, Waziri Mkuu.....vyeo vinajaa treni
Ila wewe unamambo mengi kichwani.Baadhi ya watu hujiuliza kwa nini nchi za kiafrika haziendelei, fikiria, Warioba alikuwa mwandani wa Mzee Nyerere, mbona hakuwahi kumshauri katiba mpya, serikali tatu mpaka Nyerere kastaafu?.
Ameona yeye ameshazeeka na kuchoka ndio kaona awavurugie wenzake? Mbona hakujiuzuru vyeo vyake ? Au ndio akili zinakuja uzeeni.
Huyu Mzee alishakuwa mwanasheria mkuu, Waziri Mkuu.....vyeo vinajaa treni