Mzee Warioba na hoja fikirishi ya Mwalimu Nyerere kutohutubia Kanisani

Waulize wakongwe wa JF watakuibulia nyuzi inayo zungumzia kutembelewa kwa na Mwl usiku hapo mahakama ya samaki.
Ballantine na JD, nlikuwemo humo ndani.
Sikuwai kumuona akipiga John Mtembezi.
Hizo ni whisky kali pia ndo vilikua vyombo vyake.
Simpre.
 
Katika issue ninayomsifu Mwalimu Nyerere ni kuwa hakuwahi kujilimbikizia Mali. Ndio maana familia yake hasa watoto wake wanaishi maisha ya kawaida sana.
 
Mkapa aliifuata hiyo tabia, mnapishana tu mle ndani kawaida tu.
Mkapa anaweza akakupita kama hakuoni, halafu wiki mbili baadaye akakwambia "nilikuona New Africa".

Kuna vituko vyake vingi vya Scotch Whisky vingine havifai hapa.
 
Atleast mbele za Mungu JPM hatajibu kwa Mungu wake kwa nini watu aliowaongoza waliacha kumtegemea Mungu wakategemea barakoa. Hilo swali halitamuhusu. Alisitiza wazi kumtegemea Mungu wa Mbinguni kwa kila jambo na kumuweka wa Kwanza kwa kila kitu.
Habari za chini ya kapeti zinasema kuwa coroa hiyo hiyo iliyoua mapadre na maaskofu ndio iliyomuua na yeye.

Waliomtegemea Mungu kumzidi yeye waliiogopa Corona iliyokuwa ikiwaua mchana na usiku sembuse mtu aliyeletewa injili kwa mitumbwi ya wazungu!.
 
Habari za chini ya kapeti zinasema kuwa coroa hiyo hiyo iliyoua mapadre na maaskofu ndio iliyomuua na yeye.

Waliomtegemea Mungu kumzidi yeye waliiogopa Corona iliyokuwa ikiwaua mchana na usiku sembuse mtu aliyeletewa injili kwa mitumbwi ya wazungu!.

Hawatakuwa na uhalali wa kuhimiza na kusema tumtegemee Mungu.
 
Mkapa alikua mlevi sana tena sana, hukumfahamu peke yako mzee wa Konyagi.
Ballantine ndugu, sijawai kumuona na john mtembezi labda JD.
Na sijawai kuona kalewa.
Tuwe na heshima hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…