Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Mbona wabunge wetu wamekubali..Mama kawekwa Mnarani kakenua meno sasa mnajua why aliwekwa pale. Samia tuachie Tanganyika Yetu.Kila mwenye akili timamu hawezi kuunga mkono mkataba wa kubinafisisha Bandari zetu zote Tanganyika halafu za Zanzibar zikiachwa