Mzee Warioba: Ningehudhuria lakini siwezi kuchangia jambo lenye ukakasi

Mzee Warioba: Ningehudhuria lakini siwezi kuchangia jambo lenye ukakasi

Hawa wazee ndio walioifikisha hii nchi hapa ilipofika, ndio walioshauriana na huyo Nyerere kuleta ujamaa nchini mwisho wa siku tukaangukia kwenye umasikini wa kutupa mpaka leo tunajitafuta. Pumbav zao!
Muulize baba yako yeye anamchango gani na familia yako hapo kwenu?kuwa na heshima kwa watu wazima
 
Lakini tunaishi kwenye jamii mfu ambayo imekuwa haihoji kwa sauti ya kusikika angalau kwenye hili sauti imekuwa kubwa tena sana
Tatito mama yetu amefanya wrong timing, pengine kwa kushauriwa vibaya hili suala. 2023 na anakabiliwa na uchaguzi 2025 hakafu issue ya popularity inasumbua tangu ameanza. Wazee wameanza kujitenga. Ilitakiwa issue ya bandari ianzie huku ili ikifika juu iwe na baraka na ushauri wa hawa.
 
Mwanangu asante kwa mwaliko japokuwa sioni cha kuzungumza kwenye huo mjadala uhusuo huo mkataba."

Kiukweli siwezi kwenda kujadili jambo ambalo limezua mjadala mkubwa namna ile na halijajibiwa kwa kina na wahusika!"

Suala la mipaka ya Nchi ni nyeti kama hilo la mpaka wetu wa bandari. Itoshe tu niseme tahadhari inayoendelea kutolewa na wadau isipuuzwe!"

MWALIKO NIMEUPOKEA LAKINI NITASHINDWA KUHUDHURIA KWENDA KULISEMEA JAMBO LENYE WINGI WA MASHAKA!"

Jaji.
Huu uzushi ingependeza ungemtumia mamako tu siyo kuleta huku, huuni ujuha
 
Kwahyo mnadhan hzo kelele zenu zitaizuia DPW kuja kuoperate pale bandarini? BOGUS!
Hiyo 'BOGUS' inahusu nini?

Mbona hizo "kelele" zinakutish sana wewe!
Nisipoteze muda hapa na mtu mwenye kiwango hafifu sana cha kufikiri.
 
Mwanangu asante kwa mwaliko japokuwa sioni cha kuzungumza kwenye huo mjadala uhusuo huo mkataba."

Kiukweli siwezi kwenda kujadili jambo ambalo limezua mjadala mkubwa namna ile na halijajibiwa kwa kina na wahusika!"

Suala la mipaka ya Nchi ni nyeti kama hilo la mpaka wetu wa bandari. Itoshe tu niseme tahadhari inayoendelea kutolewa na wadau isipuuzwe!"

MWALIKO NIMEUPOKEA LAKINI NITASHINDWA KUHUDHURIA KWENDA KULISEMEA JAMBO LENYE WINGI WA MASHAKA!"

Jaji.
Warioba ni aina ya wale binadamu walalamishi ktkt kila jambo, mtu asiyeishiwa manung'uniko ndiyo maana alifukuzwa uwaziri mkuu na Mzee Mwinyi, na akaja kupigwa na Makonda, hajawahi ku-appreciate kinachofanywa na serikali hana tofauti na kina Tundu Lissu na Jenerali Ulimwengu. Watu km hao watakufa wakiwa hivyohivyo na bahati mbaya hawana cha maana walicho-accomplish ktkt maisha yao ya siasa. Ogopa sana "Mr. Know All", ni mtu mbishi, asiyeamini wenzake, yeye ndiyo anajua kila kitu, huyom hawezi kufanya kazi km team.
 
Warioba ni aina ya wale binadamu walalamishi ktkt kila jambo, mtu asiyeishiwa manung'uniko ndiyo maana alifukuzwa uwaziri mkuu na Mzee Mwinyi, na akaja kupigwa na Makonda, hajawahi ku-appreciate kinachofanywa na serikali hana tofauti na kina Tundu Lissu na Jenerali Ulimwengu. Watu km hao watakufa wakiwa hivyohivyo na bahati mbaya hawana cha maana walicho-accomplish ktkt maisha yao ya siasa. Ogopa sana "Mr. Know All", ni mtu mbishi, asiyeamini wenzake, yeye ndiyo anajua kila kitu, huyom hawezi kufanya kazi km team.
Akili zako zina shida
 
Kwa wanaojua kusoma, Jaji Warioba amemtaka Attorney General atoe maelezo.

Huyu Mzee alishakuwa Attorney General, anajua haya mambo yanavyokwenda na hataki kukurupuka kusema wakati Attorney General hajasema lolote.
 
Mwanangu asante kwa mwaliko japokuwa sioni cha kuzungumza kwenye huo mjadala uhusuo huo mkataba."

Kiukweli siwezi kwenda kujadili jambo ambalo limezua mjadala mkubwa namna ile na halijajibiwa kwa kina na wahusika!"

Suala la mipaka ya Nchi ni nyeti kama hilo la mpaka wetu wa bandari. Itoshe tu niseme tahadhari inayoendelea kutolewa na wadau isipuuzwe!"

MWALIKO NIMEUPOKEA LAKINI NITASHINDWA KUHUDHURIA KWENDA KULISEMEA JAMBO LENYE WINGI WA MASHAKA!"

Jaji.
Hapa naiona indicator ya njano. Hii nchi ni muda muafaka kila mtu kuficha bichwa lake kabla kadi nyekundu haijachomolewa mfukoni mwa linesmen
 
Wewe ulishatoka huko.
Huyo aliyekuachia urudi mitaani kaona umeshindikana? Hakuna msaada wowote tena unaoweza kukusaidia na hiyo hali yako?
Rudi shule ukajifunze matumizi sahihi ya question tag.
 
Back
Top Bottom