Kwanini timu haiku muhusisha Kabudi au mtu mwingine huru maana wanasheria wanasema kitu kinajisimamia chenyewe yaani akina Abdallah ni Sawa atakavyo kiona JamesKama ungesikiliza jana ile timu inayohusika na huo mkataba, ungepata majibu yote. Walieleza vzr tu.