PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Ofcourse haina ukweli mkuu, nime speculate tu.Mkuu,
Ukishaweka "ange..' "ange..." nyingi, unafanya speculation, kitu ambacho hakimtendei haki Mzee Warioba.
Sema alialikwa wapi, alikwenda wapi.
Sema vitu vilivyotokea, vyenye ushahidi.
Hizo habari za "ange..." unaweza kutunga story yoyote ukaipachika hapo.