Mzee Warioba: Ningehudhuria lakini siwezi kuchangia jambo lenye ukakasi

Mzee Warioba: Ningehudhuria lakini siwezi kuchangia jambo lenye ukakasi

Inasikitisha kuona a few that are not sure pia wanaonekana wanapinga hoja ya uwekezaji

Kwanza Hakuna uhakika if warioba said that and pili hata Kama amesema, he has the rights to do so

Lakini hana any additional merits kwani his time ilipita bila yeye kuacha alama
Wewe umeacha alama gani?
 
wewe ulichokiandika umekielewa?
Siwezi kushangaa kwa mtu wa aina yako kutoelewa kilichoandikwa.

Hiyo mipasho mnayoikariri "kelele za chura", kumbe hata maana yake hamzijui!

Hii elimu mnayopata inasikitisha sana.
 
Hao ndivyo walivyo,huwa wanaambiana kupiga presha wakiona Jambo linatishia maslahi ya vigango,walifanya hivyo kwa mwinyi, walimsumbua kweli kwa jakaya walikwama,na hapa watakwama,warioba na kizazi chake ni kizazi kilichopandikiza na kuitenda chuki dhidi ya waislam,hawezi mpenda mwarabu...ukichukia boga chukia na ua

We umeishia la ngapi mkuu? Na vipi warioba kaongea nini?
 
Hakuacha alama kivipi wakati wao ndio walijenga hiyo bandari ?

Yeye alikuwa mwanasheria serikalini, mbona hawakuingiza vipengele vya kujiuza ili kujengewa bandari ?????
Bandari ni ya enzi za wakoloni aisee… as a formerPM… tupe milestone yake moja tu
 
Bandari ni ya enzi za wakoloni aisee… as a formerPM… tupe milestone yake moja tu
Bandari sio ya mkoloni!

Mkoloni aliacha gati 2 sasa ziko 7. Mwarabu wanasema anakuja kujenga saba (japo haipo kwenye mkataba), kwa hiyo Mwarabu akijenga gati 7 na sisi tulijenga 7. Katushinda nini ?

Nyerere took over the helm akaanza kuzijenga kuanzia 1970. Bandari imejengwa phase nne, Sultani, Mjerumani, Nyerere, na Magufuli (ujenzi wa Magufuli kaja kuuzindua Rais Samia 2021).

Msikilize huyu mwamba, shuhuda, mkufunzi na mwanafunzi wa historia ya Tanzania kuhusu nani alijenga bandari:




Kwa hiyo tuliweza kupanua bandari sisi wenyewe mdogo mdogo. Kwa nini Nyerere na wasaidizi wake kina Warioba na baadae Magufuli hawakuhitaji Mwarabu kuongeza ma gati ya bandari?
 
Ndio angeenda kututoa hayo Mashaka!
"Kiukweli siwezi kwenda kujadili jambo ambalo limezua mjadala mkubwa namna ile na halijajibiwa kwa kina na wahusika!"
Sasa sijui wahusika ni Mwanasheria Mkuu au Spika anayejengewa barabara njia nne akasahau kwamba anacho kiruhusu kuuzwa kina thamani kubwa kuliko hizo njia nne .
 
Mimi pia nalitazama hili swala lakini sina maoni. Mawazo yangu yanabakia ni mawazo tu; hayaja - crystalize kuwa maoni.

Ila ningependa kuandika maoni ya wale jamaa niliwaona kijiweni leo. Mmoja wao kasema,"Rais Samia anapaswa kuwekwa jela" . Maneno yake yakazua mjadala mkali sana.
Kiukweli siwezi kwenda kujadili jambo ambalo limezua mjadala mkubwa namna ile na halijajibiwa kwa kina na wahusika!"
 
Kiukweli siwezi kwenda kujadili jambo ambalo limezua mjadala mkubwa
Kwa tafsiri fupi;hawezi kujiingiza kwenye upotoshaji wa taarifa zilizizagaa zagaa. kiufupi,itakuwa ni busara kuwaachia wenye dhamana kufanya hivyo! Isitoshe aliweza kuhitimisha hivyo👇
halijajibiwa kwa kina na wahusika!"
Kwa lugha nyepesi kabisa, suala hili ni kaa la moto,hakuna anayetaka kukaa na suala hili ndio maana kila aliyehusika anatupia lawama kwa kitu chechote kinachoweza kupewa lawama huku wakijua wapi lawama hizo zifike- najua fika kuna watu hawaonani macho kwa macho kwenye makorido ya Ofisi nyeti Nchini.

My take: Kwa sababu suala hili linamhusu mkuu wa nchi moja kwa moja, sio suala rahisi kwa Mtu ambaye anajua jinsi Serikali inavyofanya kazi kuzungumzia suala hili kwa uwepesi unaojadiliwa na kadamnasi....hatahivyo mimi naona ni suala la muda mfupi tu twaja kusikia mtu, watu, au taasisi kuukana mkataba huu hadharani..hapo ndipo tutasikia na kuona wanafiki.
Mzee Warioba, sio mnafiki.


 
Inasikitisha kuona a few that are not sure pia wanaonekana wanapinga hoja ya uwekezaji

Kwanza Hakuna uhakika if warioba said that and pili hata Kama amesema, he has the rights to do so

Lakini hana any additional merits kwani his time ilipita bila yeye kuacha alama
...kwamba mtu yeyote yule mwenye mashaka au kuhoji kuhusu mikataba anapinga? Wawekezaji?
 
Hakana maana haka kazee........Ndiyo maana makonda alikizaba makofi
Algore,
...sasa wewe huoni mnakinzana? Inawezekana vipi akimbilie kwenye mjadala siku mbili kabla wakati wale kina makonda ndio waliokuwepo madarakani? Unachounga mkono ni matusi na kejeli tu!

Mbona mnajidanganya?

Hatahivyo, sintowalaumu kwaavile mmeshindwa kutofautisha mienendo ya ndani ya Chama(CCM)na siasa zake na Uendeshaji wake na mienendo ya Kiserikali na uendeshaji wake.
 
Na anasahau kwamba ujamaa ni sehemu ya maisha ya binaadam, na kwamba hakuna nchi yoyote hapa duniani isiyokuwa na ujamaa.
...niongezee tu,
wameshindwa kutofautisha, Ubepari na Demokrasia....na Ukomunisti na Demokrasia....

Sera ya Nyerere ya Ujamaa haikuwa Ukomunisti kama wanavyotaka kuaminisha au walivyoaminishwa.
 
Mkiendekeza hao wazee nchi itakua kama Zimbabwe.
Huu ni ushauri wa bure kabisa, kama sio matakwa ya vitabu vikuu duniani.

....Ukikutana na mzee yeyote yule leo, Umwamkie....mpe salamu......uondoe doa.

....vilevile, hakuna atakaye kuja kukukomboa...ondokana na fikra ya utegemezi ili uondokane na ukoloni wake

Nikukumbushe tu
Tanzania sio Zimbabwe
 
Back
Top Bottom