Mnada wa Mhunze
Senior Member
- Mar 1, 2023
- 168
- 819
Tofauti kati ya uwekezaji na ujambazi ni kubwa mno!Inasikitisha kuona a few that are not sure pia wanaonekana wanapinga hoja ya uwekezaji
Kwanza Hakuna uhakika if warioba said that and pili hata Kama amesema, he has the rights to do so
Lakini hana any additional merits kwani his time ilipita bila yeye kuacha alama