Mnada wa Mhunze
Senior Member
- Mar 1, 2023
- 168
- 819
Tofauti kati ya uwekezaji na ujambazi ni kubwa mno!Inasikitisha kuona a few that are not sure pia wanaonekana wanapinga hoja ya uwekezaji
Kwanza Hakuna uhakika if warioba said that and pili hata Kama amesema, he has the rights to do so
Lakini hana any additional merits kwani his time ilipita bila yeye kuacha alama
Tofauti kati ya uwekezaji na ujambazi ni kubwa mno!
Hao ndivyo walivyo,huwa wanaambiana kupiga presha wakiona Jambo linatishia maslahi ya vigango,walifanya hivyo kwa mwinyi, walimsumbua kweli kwa jakaya walikwama,na hapa watakwama,warioba na kizazi chake ni kizazi kilichopandikiza na kuitenda chuki dhidi ya waislam,hawezi mpenda mwarabu...ukichukia boga chukia na uaHii ngoma ishaanza kuwa nzito mama yuko tested
aisee!Acha fikra za kimasikini bro, ujamaa umeisha lini mpka leo kuna progress gani mmeipiga?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Uhuru ni mzuri sana. Miaka mitatu nyuma angepewa mwaliko kama huo angewahi ukumbini siku mbili kabla.
Tanganyika ilisha angamia siku nyingi wewe ulikuwa usingizini kwa karne ngapi??Asante mzee warioba
Waarabu wataiangamiza Tanganyika
Hakana maana haka kazee........Ndiyo maana makonda alikizaba makofiUhuru ni mzuri sana. Miaka mitatu nyuma angepewa mwaliko kama huo angewahi ukumbini siku mbili kabla.
Asante mzee warioba
Waarabu wataiangamiza Tanganyika
Umelipwa sh ngapi?Walioifanya Tanganyika koloni ni wazungu,wajeruman na waingereza,soma history vzr, waarabu unawachukia Kwa ukafir wako tuh
Huyu mzee kishachoka sana. Mwacheni apumzike asijekufanyiwa kama kale kajambo alikofanyiwa na Bashite pale Ubungo pkaza......mwanangu asante kwa mwaliko japokuwa sioni cha kuzungumza kwenye huo mjadala uhusuo huo mkataba."
....ki ukweli siwezi kwenda kujadili jambo ambalo limezua mjadala mkubwa namna ile na halijajibiwa kwa kina na wahusika!"
....suala la mipaka ya Nchi ni nyeti kama hilo la mpaka wetu wa bandari. Itoshe tu niseme tahadhari inayoendelea kutolewa na wadau isipuuzwe!"
....MWALIKO NIMEUPOKEA LAKINI NITASHINDWA KUHUDHURIA KWENDA KULISEMEA JAMBO LENYE WINGI WA MASHAKA!"
Jaji.
Jilaumu mwenyewe, kwani Roast hakuwepo hapa?Hawa wazee ndio walioifikisha hii nchi hapa ilipofika, ndio walioshauriana na huyo Nyerere kuleta ujamaa nchini mwisho wa siku tukaangukia kwenye umasikini wa kutupa mpaka leo tunajitafuta. Pumbav zao!
endeleeni kupiga kelele za churaJilaumu mwenyewe, kwani Roast hakuwepo hapa?
Hujitambui ndiyo maana hujui nani wa kumlaumu kwa ujinga wako.
Na anasahau kwamba ujamaa ni sehemu ya maisha ya binaadam, na kwamba hakuna nchi yoyote hapa duniani isiyokuwa na ujamaa.Acha fikra za kimasikini bro, ujamaa umeisha lini mpka leo kuna progress gani mmeipiga??
Kwa hyo umasikini wamo wa leo umesababishwa na ujamaa wa miaka 30+ iliyopita.
Sasa wewe unapiga kelele za nini?endeleeni kupiga kelele za chura