Mzee Warioba: Wabunge huchaguliwa kwa misingi ya Ukabila na Bahasha

Mzee Warioba: Wabunge huchaguliwa kwa misingi ya Ukabila na Bahasha

Kwa nini Nyerere na wenzake alikuwa na chuki sana na makabila ya watu? Mpaka akataka Watanzania wajichanganye, wasiyazungumzie makabila yao. Makabila yalimkosea nini Nyerere mpaka ayapige vita kiasi kile?
UKabila Bado upo s'na tu, ni vile hauongelewi kma Kenya. We nenda kagombee ubunge au udiwan sehemu usiyo na nasaba Nayo!! UOne utapta hyo nafasi Ukiacha maeneo machache ya mjini..
 
Ukabila sio tatizo kama kelele nyingi zinavyopigwa, tatizo kubwa ni akili ndogo za Waafrika wengi ambao hupelekea kudhulumiana na kuuana kwa sababu ya ukabila au udini.

Huwezi kusema uchaguzi sio huru na haki eti kwasababu;

Wamasai wamemchagua Mmasai mwenzao kwa kuamini anaweza kuwakilisha na kutetea maslahi yao vizuri zaidi bungeni.

Waislamu wamemchagua Muislamu kwa kuamini atawapa mahakama ya kadhi kama wanaitaka na ndio kipaumbele chao.

Wakristo wamemchagua mtu wanayeamini atawapa nafuu za kisera na kodi kwenye shule, hospitali na vyuo vyao vya kidini.

Marekani, Wakristo wa Msimamo mkali wanaopinga Utoaji mimba na Ushoga walimchagua kwa wingi Trump dhidi ya Clinton na akashinda kwa haki kabisa huku Clinton akikubali matokeo. Walifanya hivyo tena dhidi ya Biden ila Wa Democrats ilibidi wafanye kazi ya ziada kuhamasisha watu wao wapige kura kwa wingi zaidi jambo ambalo liliwapa ushindi.
Uchaguzi hauwezi kuwa huru na haki tena kama unakiri mgombea anachaguliwa kwa vigezo vya dini, na kabila lake.

Kwa sababu wale wasio wa dini au kabila hilo, hawapati uwanja sawa na yule wa kabila na eneo alipotoka, hata kama ana sifa za ziada kiutendaji.
 
Ni mara chache sana huko kwenye majimbo ya vijijini mtu ambaye hatoki eneo hilo anaweza kushinda udiwani au ubunge, labda awe ameishi hapo jimboni muda mrefu sana.

Wengi hapa Jukwaani wanasahau kwa sababu wanaishi mjini na katika majiji ambapo kuna mchanganyiko mkubwa wa makabila tofauti.
UKabila Bado upo s'na tu, ni vile hauongelewi kma Kenya. We nenda kagombee ubunge au udiwan sehemu usiyo na nasaba Nayo!! UOne utapta hyo nafasi Ukiacha maeneo machache ya mjini..
 
Kwa nini Nyerere na wenzake walikuwa na chuki sana na makabila ya watu? Mpaka akataka Watanzania wajichanganye, wasiyazungumzie makabila yao. Makabila yalimkosea nini Nyerere mpaka ayapige vita kiasi kile?
Mwalimu hakuchukia makabila alichukia UKABILA. Kama ni kabila hata yeye alikuwa nalo ni Mzanaki ila hakupenda ukabila uwe ni mfumo wa kuchagua uongozi wa nchi iwe ni katika mtaa au taifa. Ndiyo maana alisema faida ya makabila ni kutaaambika tu.🙏🙏🙏
 
Jiwe alikuwa anaelewa mambo reverse sometimes. Kama watu wanachagua au wamemchagua mtu mbunge ni lazima awe mtu wa hapo alipochaguliwa. Mkurugenzi, mkuu wa wilaya na mkoa ndiye wa kuletwa kwa sababu hawachaguliwi na watu wanaowaongoza.
Kuna clip moja nimeiona jana humu JF Magufuli anamdismiss Mbunge wa Upinzani huku akimtetea nadhani alikuwa Mkurugenzi wa Halmashauri maeneo ya Mara huko. Magufuli mwisho akasema "kwanza huyu siyo mtu wa huku anatokea huko Morogoro sijui kuja kuwavuruga hapa".
 
Kwenye siasa ni vigumu sana kushinda ukiwa mgombea binafsi ila ni haki ambayo inapaswa kuwa katika katiba.
Kuruhusu mgombea binafsi naona itakuwa suluhisho la hayo.
 
Ni mara chache sana huko kwenye majimbo yasio ya vijijini mtu ambaye hatoki eneo hilo anaweza kushinda udiwani au ubunge, labda awe ameishi hapo jimboni muda mrefu sana.

Wengi hapa Jukwaani wanasahau kwa sababu wanaishi mjini na katika majiji ambapo kuna mchanganyiko mkubwa wa makabila tofauti.
Jah people siyo mbena, Sugu siyo Msafwa, Dr Tulia siyo Msafwa, mchungaji Msigwa siyo mhehe, Dr Gwajima siyo mzaramo, Wenje siyo Msukuma, Lena siyo MuArusha nk....nk
 
Mwalimu hakuchukia makabila alichukia UKABILA. Kama ni kabila hata yeye alikuwa nalo ni Mzanaki ila hakupenda ukabila uwe ni mfumo wa kuchagua uongozi wa nchi iwe ni katika mtaa au taifa. Ndiyo maana alisema faida ya makabila ni kutaaambika tu.🙏🙏🙏

Ni kweli hayo makabila faida yake ni matambiko tu? Mila, desturi, utamaduni, lugha, n.k za makabila hazina faida kweli? Kwa nini viongozi wa makabila kwa mfano machifu hawakutambuliwa rasmi na wakina Nyerere kama walivyotambua rasmi viongozi wa dini kwa mfano kadinali wa kanisa katoliki?
 
Nyerere hakuwa na chuki na makabila ya watu ila huenda aliangalia migogoro na mauji yaliyokiwa yanaendelea Rwanda, Congo, Burundi, Uganda, Zimbabwe, Nigeria n.k ambayo kwa sehemu kubwa ilitokana na ukabila. Kwa kipindi kile alikuwa sahihi ila baadaye waka overdo walipoifanya hii kuwa ajenda ya kudumu. Zaidi sana sio rahisi hata kidogo kuwa na ukabila Tanzania, sio rahisi kuwa na kabila moja linalo dominate na kukandamiza makabila mengine.

Jambo la kushangaza dini imetumika kwa ubaguzi, ukandamizaji na kama kichocheo kimojwapo cha vurugu na vita sehemu kadhaa duniani ila haikupuuzwa au watu hawahamasishwi kuipuuza mpaka leo! Kumekuwepo na Jihads na Crusades, migogoro ya Msumbiji, Somalia, Nigeria, Rwanda, Mnymar, vita vya Iraq-Iran, vita vya Israel-Palestina, Sudan, Yugoslavia, Vietnam, Afrika Kusini, Kashmir n.k dini zimehusika pakubwa sana.
Kwa nini Nyerere na wenzake walikuwa na chuki sana na makabila ya watu? Mpaka akataka Watanzania wajichanganye, wasiyazungumzie makabila yao. Makabila yalimkosea nini Nyerere mpaka ayapige vita kiasi kile?
 
Ni kweli hiyo makabila faida yake ni matambiko tu? Mila, desturi, utamaduni, lugha, n.k za makabila hazina faida kweli? Kwa nini viongozi wa makabila kwa mfano machifu hawakutambuliwa rasmi na wakina Nyerere kama walivyotambua rasmi viongozi wa dini kwa mfano kadinali wa kanisa katoliki?
Swali la msingi.
 
Nyerere hakuwa na chuki na makabila ya watu ila huenda aliangalia migogoro na mauji yaliyokiwa yanaendelea Rwanda, Congo, Burundi, Uganda, Zimbabwe, Nigeria n.k ambayo kwa sehemu kubwa ilitokana na ukabila. Kwa kipindi kile alikuwa sahihi ila baadaye waka overdo walipoifanya hii kuwa ajenda ya kudumu. Zaidi sana sio rahisi hata kidogo kuwa na ukabila Tanzania, sio rahisi kuwa na kabila moja linalo dominate na kukandamiza makabila mengine.

Jambo la kushangaza dini imetumika kwa ubaguzi, ukandamizaji na kama kichocheo kimojwapo cha vurugu na vita sehemu kadhaa duniani ila haikupuuzwa au watu hawahamasishwi kuipuuza mpaka leo! Kumekuwepo na Jihads na Crusades, migogoro ya Msumbiji, Somalia, Nigeria, Rwanda, Mnymar, vita vya Iraq-Iran, vita vya Israel-Palestina, Sudan, Yugoslavia, Vietnam, Afrika Kusini, Kashmir n.k dini zimehusika pakubwa sana.

Nafikiri sababu kubwa ni kuogopa viongozi wa makabila kuleta checks and balances. Kwa mfano yale mambo ya kuhamisha watu vijijini kwao kuwapeleka vijiji vya ujamaa yangeweza kupingwa na viongozi wa makabila. Kama unavyoona wabunge wa wamasai wanapiga kelele kuhamishwa Ngorongoro.
 
ni kweli

ila nawaonea sana huruma wazee wangu wa awamu ya kwanza kwani hizi nyakati wanazoishi ni tofauti sana na zile za kale!

pamoja na kuwa nawalaumu nyie pia kutobadilisha katiba, ngoja tuweke hii mpya sawa, tuone kama itafuatwa maana hii ya sasa hivi yenyewe naona haijatendewa haki!
 
Back
Top Bottom