Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Hii ni common sense kabisa
Mbunge anawakilisha wananchi wa hilo jimbo..
Sasa mnataka mzaramo akawe mbunge wa Iramba.
Hao wananchi wa vijijini iramba watamueleza shida zao kwa lugha gani? .
maisha ya vijijini kuna watu wanajua lugha asili tu ya kwao. Ndio maana wanachagua mtu wao.. hata kampeni huwa zinafanywa kwa kilugha chao