Mzee Warioba: Wabunge huchaguliwa kwa misingi ya Ukabila na Bahasha

Mzee Warioba: Wabunge huchaguliwa kwa misingi ya Ukabila na Bahasha

Hii ni common sense kabisa
Mbunge anawakilisha wananchi wa hilo jimbo..

Sasa mnataka mzaramo akawe mbunge wa Iramba.

Hao wananchi wa vijijini iramba watamueleza shida zao kwa lugha gani? .
maisha ya vijijini kuna watu wanajua lugha asili tu ya kwao. Ndio maana wanachagua mtu wao.. hata kampeni huwa zinafanywa kwa kilugha chao
 
Kwenye siasa ni vigumu sana kushinda ukiwa mgombea binafsi ila ni haki ambayo inapaswa kuwa katika katiba.
Hii comment yako sikuiona, nilipoiona ndipo nimegundua kiini cha tatizo lako.

Naona umeathiriwa na malezi ya CCM ndio maana unaamini mgombea binafsi kushinda kwenye siasa ni vigumu.

Mimi sioni ugumu wowote hapo, hasa ukishajua wapiga kura huwa hawachagui sura au chama cha mgombea, bali sera zake, huwezi kuona tatizo hapo.

Na kama huyu mgombea bila kujali dini au kabila lake, akayajua matatizo ya wapiga kura wake, na kuwaahidi kuyafanyia kazi wakimchagua, nao wakamuamini kwa sera zake, lazima ashinde.

Atakaposhinda, huyu atakuwa hajashinda kwasababu ya kabila lake, dini yake, wala chama chake, ni sera zake, jitahidi uielewe hii concept.
 
Kushinda uchaguzi kunahitaji zaidi ya sera nzuri. Kunahitaji mipango, intelejensia, oganaizeshini, coordination, communication, wapangua propoganda na makundi"mtandao" muhimu. Chama kinafanya hiyo kazi kuwa rahisi, bila chama hata kushinda udiwani ni sawa na kupanda kilele cha mlima Kilimanjaro.

Don't be too naive,
Hata huko kwenye demokrasia zilizokomaa kabisa ni nadra sana mgombea binafsi kushinda. Seneti ya Marekani yenye maseneta 100 ina maseneta 2 tu ambao ni Independent.
Hii comment yako sikuiona, nilipoiona ndipo nimegundua kiini cha tatizo lako.

Naona umeathiriwa na malezi ya CCM ndio maana unaamini mgombea binafsi kushinda kwenye siasa ni vigumu.

Mimi sioni ugumu wowote hapo, hasa ukishajua wapiga kura huwa hawachagui sura au chama cha mgombea, bali sera zake, huwezi kuona tatizo hapo.

Na kama huyu mgombea bila kujali dini au kabila lake, akayajua matatizo ya wapiga kura wake, na kuwaahidi kuyafanyia kazi wakimchagua, nao wakamuamini kwa sera zake, lazima ashinde.

Atakaposhinda, huyu atakuwa hajashinda kwasababu ya kabila lake, dini yake, wala chama chake, ni sera zake, jitahidi uielewe hii concept.
 
Kushinda uchaguzi kunahitaji zaidi ya sera nzuri. Kunahitaji mipango, intelejensia, oganaizeshini, coordination, communication, wapangua propoganda na makundi"mtandao" muhimu. Chama kinafanya hiyo kazi kuwa rahisi, bila chama hata kushinda udiwani ni sawa na kupanda kilele cha mlima Kilimanjaro.

Don't be too naive,
Hata huko kwenye demokrasia zilizokomaa kabisa ni nadra sana mgombea binafsi kushinda. Seneti ya Marekani yenye maseneta 100 ina maseneta 2 tu ambao ni Independent.
Unaonekana hujui hata maana ya mgombea binafsi, huyu sio individual atakayezunguka peke yake jimbo lote, hata mgombea binafsi anaweza kuwa na vyote hivyo, organisation nk..

Kama kura ni siri, hakuna kisichowezekana, hayo makundi unayopigia debe ndio yatamchagua.

Hapa suala sio kuwa naive, ni wewe tu ubadilishe mindset yako, hao maseneta wa Marekani 100/2 it's only a matter of time, watu wanabadilika, iko siku itakuja iwe 2/100, its possible.

Tafuta muda ujue maana ya mgombea binafsi, na namna anavyofanya majukumu yake, nimalizie tu kwa kukwambia, hakuna sheria inayowekwa kwenye Katiba isiyokuwa na maana, ukiona sheria fulani ipo, ujue wenzako walishatangulia kuuona umuhimu wake kabla yako, wewe utaujua baadae ikianza kutumika.
 
Ndio. Anaweza kuchaguliwa
Yah, yah yah..... Tisidanganyane. Tofauti yetu na Kenya ni ndogo sana. Kama hiyo ni kweli mbona hatujaona miaka yote hiyo?

2015 jinsi JPM alivyozoa kura Usukumani... Na jinsi Lowasa alivyopata support North ni ushahidi tosha.... Whether you agree to or not!! I rest my case.
 
Waliokuja kutafuta D'Salaam wanaelewa zaidi changamoto za Daslamu kwa sababu hapa ndipo wanapofanya sehemu kubwa ya maisha, wanaweza kuwa wawakilishi wazuri zaidi wa hapa kuliko kule walipotoka.

Tatizo linaenda mbali zaidi na kuwa kubwa sana kwa sababu unakuta hao wabunge wengi wa huko mikoani wanaishi Dar hata wakiwa wabunge badala ya kuishi kwenye majimbo yao na wale waliowachagua.

..jambo lingine ni kwamba Dsalaam ina mkusanyiko au utitiri wa wasomi toka kila pembe ya nchi hii.

..kwa maana nyingine vijijini wanasomesha watu wao halafu wanaopata huduma ya usomi na ukwasi wa watu hao ni Dsalaam.

..kwa hiyo utakubaliana na mimi kwamba watu wa vijijini wanawahitaji wasomi wao warudi ili wakawatumikie kwa kuwawakilisha bungeni.

..vilevile ushindani kwa Dsalaam ni mkubwa sana kutokana na wasomi kuwa wengi, hivyo nadhani ni vyema baadhi yao wakarudi vijijini kuwatumikia.

..Na hii isiishie kwenye ubunge tu. Kuna nafasi za udiwani pia. Vilevile wasomi wanaostaafu ni vizuri wakarudi vijijini na ku-share uzoefu wao na jamii zilizowakuza.
 
Yah, yah yah..... Tisidanganyane. Tofauti yetu na Kenya ni ndogo sana. Kama hiyo ni kweli mbona hatujaona miaka yote hiyo?

2015 jinsi JPM alivyozoa kura Usukumani... Na jinsi Lowasa alivyopata support North ni ushahidi tosha.... Whether you agree to or not!! I rest my case.

Mtu kupata kura nyingi kwao sio ukabila bali ni mapenzi tu ya nyumbani.. ni sawa na timu ya mpira ikicheza uwanja wa nyumbani kwao huwa inashangiliwa sana kuliko ikiwa ugenini.

Dar wabunge wapo kibao. Je hao wabunge wanatoka makabila yenye asili dar?
 
Mtu kupata kura nyingi kwao sio ukabila bali ni mapenzi tu ya nyumbani.. ni sawa na timu ya mpira ikicheza uwanja wa nyumbani kwao huwa inashangiliwa sana kuliko ikiwa ugenini.

Dar wabunge wapo kibao. Je hao wabunge wanatoka makabila yenye asili dar?
Sasa mtu kama Halima Mdee utasema siyo mzaramo?

Tangu azaliwe haijawahi kugusa upareni
 
Mtu kupata kura nyingi kwao sio ukabila bali ni mapenzi tu ya nyumbani.. ni sawa na timu ya mpira ikicheza uwanja wa nyumbani kwao huwa inashangiliwa sana kuliko ikiwa ugenini.

Dar wabunge wapo kibao. Je hao wabunge wanatoka makabila yenye asili dar?
Dar na Mwanza, hazina wenyewe. Ni miji ya kila mtu. Hiyo ndiyo mikoa pekee unayoweza kuchaguliwa regardless kabila lako. Same as Nairobi na Mombasa. Ndiyo maana nasema tofauti yetu na Kenya ni ndogo sana.

Actually, wao wako vizuri maana wameshajua tatizo lao na wanajitahidi kuifanyia kazi. Sisi hauoni kama tuna tatizo wakati linakuwa kila siku.... Including la Udini.
 
Hakuna tatizo la ukabila Kenya wala hapa Tanzania pia hakuna.
Dar na Mwanza, hazina wenyewe. Ni miji ya kila mtu. Hiyo ndiyo mikoa pekee unayoweza kuchaguliwa regardless kabila lako. Same as Nairobi na Mombasa. Ndiyo maana nasema tofauti yetu na Kenya ni ndogo sana.

Actually, wao wako vizuri maana wameshajua tatizo lao na wanajitahidi kuifanyia kazi. Sisi hauoni kama tuna tatizo wakati linakuwa kila siku.... Including la Udini.
 
Back
Top Bottom