Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Siasa za Tanzania kuna vitu vya kuchekesha sana,
Mtu ameishi Dar es Salaam utu uzima wake wote halafu wakati wa uchaguzi anaenda kugombea Kasulu au Kilosa!
Mbunge ambaye ni mwakilishi wa watu wake anatakiwa mtu anayeishi hilo eneo muda wote na anayeishi na wananchi wake, sio mtu anagombea tu kwa sababu kuna babu na bibi yake hapo.
Mtu ameishi Dar es Salaam utu uzima wake wote halafu wakati wa uchaguzi anaenda kugombea Kasulu au Kilosa!
Mbunge ambaye ni mwakilishi wa watu wake anatakiwa mtu anayeishi hilo eneo muda wote na anayeishi na wananchi wake, sio mtu anagombea tu kwa sababu kuna babu na bibi yake hapo.
Wakati mwengine mzee anazungumza vitu vinavyoibua maswali sana. Hivi kuna sehemu Tanzania ambako kuna jimbo la kabila au dini flani wakati tumechanganywa kama taifa tangu enzi za Mwalimu? Hizi ni fikra za udini na ukabila.
Halafu mtu lazima akagombee anakotoka ili ajue Rural sociology ya hilo jimbo na wananchi wamjue . Point ya rushwa tunaweza kukubaliana ktk baadhi ya maeneo siyo general kama alivyoongea mzee. Yaani kila jimbo kuna rushwa? Hii ni fallacy generalization.[emoji120][emoji120][emoji120]