Ni kweli,alimfuatilia lisu had I chooni amkate mtama.Kuna link Fulani lisu alielezea ilivyokuwa,na kipindi cha nipe 5 na Khalid gangana alimuuliza hili swali,wasira akapanch.😆😆😆 Mkuu unatania, au ni ya kweli hayo?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli,alimfuatilia lisu had I chooni amkate mtama.Kuna link Fulani lisu alielezea ilivyokuwa,na kipindi cha nipe 5 na Khalid gangana alimuuliza hili swali,wasira akapanch.😆😆😆 Mkuu unatania, au ni ya kweli hayo?!
Lissu akijua we mwongo alikuwa anauliza maswali ya kuudhi sana ili upate hasira ukose majibu.😆😆😆 Mkuu unatania, au ni ya kweli hayo?!
Hiyo ni lugha ya fasihi.Siyo kutibu bali ni kutonesha vidonda
Wengi wao ni wapiga zumari tu kichwa choote ni kuwazia poshoNa wenye IQ Kubwa sana kama vile Sisi.
Asante mkuu umesomeka vema.Hiyo ni lugha ya fasihi.
Kerosine mpambe wa mwendazake unaona wivu Samia kuwa treated vizuri hizo ni Tabia za kikeWassira awataka Vijana Kuhoji Mambo ( Masuala ) kwani Kunyamaza ni Unafiki.
Taarifa: Gazeti la Nipashe la Leo hii.
Sasa kama Mzee Steven Wassira ( Kada Mkongwe ) na Mtu aliyehudumu Serikalini miaka mingi, ametumika sana Kuandika ILANI ya Chama cha CCM na anajua vyema Siasa anataka 'Wakosoaji Werevu' akina KEROZENE na wengineo kamwe tusinyamaze Wewe ( Nyie ) ni nani mpaka mtuzuie na mtutishe hadi Kututanguliza mapema Makaburini tukalale Usingizi wa Milele?
Ngoja sasa KEROZENE nijiandae kuangalia Hafla ya UWT ( kupitia TBC1 na ZBC ) huko Zanzibar wakiwa Wanampamba na Kumpongeza Mama wa Taifa kwa Kutuongoza kama Mwanamke, Kusafiri nje ya nchi kwa muda mfupi, Kukopa sana WB na IMF na Kuturejeshea Watanzania Furaha tuliyoisahau kwa muda mrefu ya Mgawo wa Maji na Umeme Tanzania.
Mkuu hongera kwa kujitofautisha na maelefu ya wana ccm wenzako ambao wao kila uchao ni kusifu na kuabudu.Binafsi hata kama nashabikia CCM ila huwa sina Uvumilivu kwa Wapumbavu na Wanafiki waliojazana Lumumba na Kizota ambao wanadhani Kuficha Mapungufu ya Chama na Mama ndiyo Kukiimarisha wakati kumbe ndiyo wanakididimiza tu Chama na hata wana CCM wenye Akili nasi tunadharaulika Kutwa.
Ukame kwa magufuli haukuwepo?Kwenye ishu ya mgao wa maji na umeme tunamwonea. Sababu kubwa ni UKAME
Hongera sanaCCM ya sasa inahitaji new Think Tanks wa Kukisaidia Chama na siyo Kuwakumbatia Wapumbavu na Wanafiki wengi waliojazana na wanaoaminiwa kwa Uwongo, Chuki na kutengeneza Matukio mabaya huku wakiwa na Vimelea vingi vya Uchawi na Wapenda Ushirikina pamoja na Majungu.
Kila MTU ni kichaa ukichaa wake huufikia akiwa na hasira ,akiwa na njaa ndiyo unazidi 'every body is mad and that ,the degree of madness is measured when angry' nimeandika pia kwenye kitabu changu cha ujasiriamali somo linaitwa 'the entrepreneur and his silent society "(mjasiriamali na jamii iliyo nyamaza'Huogopi Kutishiwa Maisha na Kuuliwa kama inavyotutokea wengine kwakuwa tu tunakosoa sana halafu tuna Akili kuliko wa Magogoni na Chamwino?
Kerezone nimekuelewa kama nilivyomuelewa Diallo na yule mjumbe wa Pwani.Binafsi hata kama nashabikia CCM ila huwa sina Uvumilivu kwa Wapumbavu na Wanafiki waliojazana Lumumba na Kizota ambao wanadhani Kuficha Mapungufu ya Chama na Mama ndiyo Kukiimarisha wakati kumbe ndiyo wanakididimiza tu Chama na hata wana CCM wenye Akili nasi tunadharaulika Kutwa.
Kwenye hiyo mito kuna miundombinu iliyojengwa kutupatia maji? Samia anaingiaje hapo Sasa?Huu ni UONGO mkubwa!nchi ina 3 big fresh water lakes !ukame utoke wapi?na tumejaliwa kuwa na mito mingi tu yenye maji ya kutosha
Maarifa lazima yawekwe kwenye vitendo. Huyu ndiyo kwanza kaingia mm iundombinu yote ya umeme na maji kaikuta. Sasa hata kama ana maarifa ni lini na kwa fedha gani angeyetekeleza?Tatizo ni ukame au maarifa?.
Nachangia mada, wala sijataja kitabu kinaitwaje nimetoa mfano wa kufanya biashara kwenye jamii iliyonyamaza,swali je ukifanya biashara kwenye jamii iliyonyamaza , unaweza fanikiwa? Jamii isiyo hoji ni jamii mfuUnachangia Mada ( Uzi ) au Unapromoti Kitabu chako?
Tanzania Ukame umewahi kutokea tu katika hii Awamu yake? Ukame serious umewahi kutokea 2006/2007 ukasababisha mgao wa umeme na maji kuwa wa kutisha. Kwahiyo siyo mara ya kwanza.
Mvua zilikuwa nyingi sanaUkame kwa magufuli haukuwepo?View attachment 2017211
Lini umefanya feasibility na EIA study ya kujenga miundombinu ya kuzalisha maji na umeme toka mtoni?Kwani Samia kama Rais wa JMT baada ya kujua hiyo Changamoto ameshindwa Kuahirisha Sherehe za Uhuru na hiyo Bajeti akaagiza upesi sana ikatumike katika Kuiimarisha hiyo Miundombinu ili suala la Maji na Umeme liwe Historia katika Miaka hii 60 ya Uhuru?
Hapana. Ni kudra za mwenyezi Mungu tu.JPM alikuwa na Mibaraka na siyo Nuksi.
Mzee Tyson bado anaitaka Bunda [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yeye Wasira alipokuwa ndani ya mfumo mbona alikuwa anamkimbiza Lissu amkate makofi kwa kuihoji serikali.
Wasira na Hawa ghasia walikuwa jeuri sana kwa wabunge wenzao