Mzee wetu anawatakia weekend mjaarabu

Mzee wetu anawatakia weekend mjaarabu

yitzhak

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2019
Posts
616
Reaction score
853
IMG_20190713_112512.JPG


Kila la kheri Mzee wanaokuombea kifo wataanza wao

Hawa wapiga kelele watapita wataicha club km walivyoikuta

Mwanasandaland halisi
 
View attachment 1152399

Kila la kheri Mzee wanaokuombea kifo wataanza wao

Hawa wapiga kelele watapita wataicha club km walivyoikuta

Mwanasandaland halisi
Nilidhani huyu Mzee ni Mjanja kumbe ndio wale wale akina Akilimali,Mzee Kilomoni anazunguka na Hati ya Simba,badala ya kuipeleka Benki akavuta Mpunga yeye ni kelele tu ohoo nina Hati,mzee piga hela.
 
Uzalendo haupo hivyo
Nilidhani huyu Mzee ni Mjanja kumbe ndio wale wale akina Akilimali,Mzee Kilomoni anazunguka na Hati ya Simba,badala ya kuipeleka Benki akavuta Mpunga yeye ni kelele tu ohoo nina Hati,mzee piga hela.
 
hawa ndo virusi wa mpira wetu,, Akilimali kufanya migogoro wakati hana uwezo wa kulipa hata mchezaji mmoja mwisho yanga ikaanza kuomba omba, huyu naye analeta migogoro ambayo itazuia simba kufika kule ilikofika msimu uliopita, stupidity!!
sisi tunataka maendeleo ya mpira wenyewe wanaleta siasa, nachukia sana watu kama hawa, hizi timu zingemilikiwa na mtu Mmoja tungeona maendeleo ya kwel siku zote
 
Back
Top Bottom