Mzee Yussuf awataka wasanii kuipa kula ya ndio katiba pendekezwa

Mzee Yussuf awataka wasanii kuipa kula ya ndio katiba pendekezwa

singidadodoma

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
4,394
Reaction score
1,536
Msanii wa muziki yenye mahadhi ya pwani (taarabu) amewataka wasanii wa mbalimbali kuungana na kuipigia kura ya ndio pendekezwa kwa kuwa ina maslahi mapana kwa wananchi.

Mzee Yussuf ameyasema hayo alipokuwa akhojiwa ktk kipindi cha masham sham ya pwani kinachorushwa na ITV' amesema kuwa watanzania waache kulumbana badala yake waisome katiba hiyo.

Pia amewtaka watanzania kwa ujumla kuangalia mambo yanayowahusu na kuacha kuangalia mambo ya watu wengine ktk katiba hiyo.

"Kwa mfano we mkulima ukuona katiba pendekezwa ina maslahi mazuri kwa wakulima ipe kura ya ndio mambo ya wavuvi waachie wenye" akisema mzee Yussuf

Pia amewataka watanzania kutoacha mambo mazuri yaliomo ktk katiba hiyo kwa kushawishiwa na watu wenye maslahi binafsi

Source ITV
 
Msanii wa muziki yenye mahadhi ya pwani (taarabu) amewataka wasanii wa mbalimbali kuungana na kuipigia kura ya ndio pendekezwa kwa kuwa ina maslahi mapana kwa wananchi.

Mzee Yussuf ameyasema hayo alipokuwa akhojiwa ktk kipindi cha masham sham ya pwani kinachorushwa na ITV' amesema kuwa watanzania waache kulumbana badala yake waisome katiba hiyo.

Pia amewtaka watanzania kwa ujumla kuangalia mambo yanayowahusu na kuacha kuangalia mambo ya watu wengine ktk katiba hiyo.

"Kwa mfano we mkulima ukuona katiba pendekezwa ina maslahi mazuri kwa wakulima ipe kura ya ndio mambo ya wavuvi waachie wenye" akisema mzee Yussuf

Pia amewataka watanzania kutoacha mambo mazuri yaliomo ktk katiba hiyo kwa kushawishiwa na watu wenye maslahi binafsi

Source ITV

Safi mzalendo huyo jamani!! mwacheni!!
 
Msanii wa muziki yenye mahadhi ya pwani (taarabu) amewataka wasanii wa mbalimbali kuungana na kuipigia kura ya ndio pendekezwa kwa kuwa ina maslahi mapana kwa wananchi.

Mzee Yussuf ameyasema hayo alipokuwa akhojiwa ktk kipindi cha masham sham ya pwani kinachorushwa na ITV' amesema kuwa watanzania waache kulumbana badala yake waisome katiba hiyo.

Pia amewtaka watanzania kwa ujumla kuangalia mambo yanayowahusu na kuacha kuangalia mambo ya watu wengine ktk katiba hiyo.

"Kwa mfano we mkulima ukuona katiba pendekezwa ina maslahi mazuri kwa wakulima ipe kura ya ndio mambo ya wavuvi waachie wenye" akisema mzee Yussuf

Pia amewataka watanzania kutoacha mambo mazuri yaliomo ktk katiba hiyo kwa kushawishiwa na watu wenye maslahi binafsi



Source ITV


Yap yap yap mawazo yake yaliingizwa!!!! chuma chuma dededeee ............... msumari huo .... unawachoma kotekote, tisha sana babake.
 
Msanii wa muziki yenye mahadhi ya pwani (taarabu) amewataka wasanii wa mbalimbali kuungana na kuipigia kura ya ndio pendekezwa kwa kuwa ina maslahi mapana kwa wananchi.

Mzee Yussuf ameyasema hayo alipokuwa akhojiwa ktk kipindi cha masham sham ya pwani kinachorushwa na ITV' amesema kuwa watanzania waache kulumbana badala yake waisome katiba hiyo.

Pia amewtaka watanzania kwa ujumla kuangalia mambo yanayowahusu na kuacha kuangalia mambo ya watu wengine ktk katiba hiyo.

"Kwa mfano we mkulima ukuona katiba pendekezwa ina maslahi mazuri kwa wakulima ipe kura ya ndio mambo ya wavuvi waachie wenye" akisema mzee Yussuf

Pia amewataka watanzania kutoacha mambo mazuri yaliomo ktk katiba hiyo kwa kushawishiwa na watu wenye maslahi binafsi

Source ITV

Wanaojitambua wanajua wanatakiwa kufanya nini. Hongera Mzee Yussuf endekelea na huo uzalendo kwa taifa lako. Zaidi ya hayo, endelea na moyo huo huo. Zaidi ya hayo wasanii ni moja ya kundi muhimu katika jamii maana burudni ni moja ya vionjo vya kuimarisha na kurudisha jamii. Mzee Yusuff tumia karama yako baba.
 
Huyo mzee ni mbinafsi na ana uelewa finyu,hajui kama hivi vitu vinaingiliana ,hivi kama mkulima anaminywa au mfanyabiashara au mfanyakazi au mjasiriamali yeyote je ye atapata wapi wafuasi wa kuhudhuria show zake au kununua kazi zake? Mingine mibinafsi hadi kichwani kumejaa ubinafsi
 
Hivi ana wake wangapi mpaka sasa!? .....na unaweza kutarajia jibu gani endapo umempa swali kama hili mtu kama huyu!?
 
Hatuwezi shauriwa na bwabwa.kura ni hapana tuu.
 
Aingie kwenye siasa akawapashe bungeni maana anaonekana mzuri wa kuchonga
 
Kweli mzee Yussuf kanena kiukweli hii katiba pendekezwa imetuangalia sasa hata sisi wakulima na wafugaji
 
Msanii wa muziki yenye mahadhi ya pwani (taarabu) amewataka wasanii wa mbalimbali kuungana na kuipigia kura ya ndio pendekezwa kwa kuwa ina maslahi mapana kwa wananchi.

Mzee Yussuf ameyasema hayo alipokuwa akhojiwa ktk kipindi cha masham sham ya pwani kinachorushwa na ITV' amesema kuwa watanzania waache kulumbana badala yake waisome katiba hiyo.

Pia amewtaka watanzania kwa ujumla kuangalia mambo yanayowahusu na kuacha kuangalia mambo ya watu wengine ktk katiba hiyo.

"Kwa mfano we mkulima ukuona katiba pendekezwa ina maslahi mazuri kwa wakulima ipe kura ya ndio mambo ya wavuvi waachie wenye" akisema mzee Yussuf

Pia amewataka watanzania kutoacha mambo mazuri yaliomo ktk katiba hiyo kwa kushawishiwa na watu wenye maslahi binafsi

Source ITV

Nchi ya wasanii, hopeless!
 
Back
Top Bottom