Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
Aingie kwenye siasa akawapashe bungeni maana anaonekana mzuri wa kuchonga
Umeishiwa endelea kusukuma kokoteni lako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aingie kwenye siasa akawapashe bungeni maana anaonekana mzuri wa kuchonga
Huyo mzee ni mbinafsi na ana uelewa finyu,hajui kama hivi vitu vinaingiliana ,hivi kama mkulima anaminywa au mfanyabiashara au mfanyakazi au mjasiriamali yeyote je ye atapata wapi wafuasi wa kuhudhuria show zake au kununua kazi zake? Mingine mibinafsi hadi kichwani kumejaa ubinafsi
Huyo baba Mlezi wa nini walevi, wanywa gongo au machangudoa mbona sikuelewi unaleta mipasho kwa Yusufu we una ajenda gani niambie umeshaminywa vingapi hadi unajifanya kuwatetea wakulima,wafanyabiashara na wafanyakazi? Usidandie mada utaumia bure.
Weka hoja ndugu mbona unatoa mapovu tuuu??
kupiga Kura ya Ndiyo!
Baba mlezi umechangia vizuri kabisa ila umeonekana kumshambulia huyo Yusuph kwa mambo yake binafsi jaribu kuelewa hoja vizuri kabla ya kuchangia!
Sugu ndiyo nani vile?fafanua wana jf tumjue!huwa anawasaidia wasanii?au wasanii wanakula jasho lao, maana mie nachojua asiyefanya kazi haruhusiwi kula.
Toa upuuzi wako Sugu ndio mdudu gani?
Sawa na wewe mbona unazidisha povu? hayo yote yameelezewa katika Katiba Inayopendekezwa vizuri kabisaaaa. sasa tafuta jingine hayo yamo.
Safi mzalendo huyo jamani!! mwacheni!!
Wanajichimbia makaburi yao wao wenyewe bila kujijua, Katiba hii itapita kwa nguvu zote, na aibu itakuwa kwao.
Hivi na yeye yupo ACT?
Leta fact kujiunga jana juzi hata leo is noy issue leta fact kunguni
Hatuwezi shauriwa na bwabwa.kura ni hapana tuu.
Yaani kenge km huyu anaruhusiwa kuwaambia watu aina ya kura ya kupiga alafu maaskofu hapana!!!!!
Msanii wa muziki yenye mahadhi ya pwani (taarabu) amewataka wasanii wa mbalimbali kuungana na kuipigia kura ya ndio pendekezwa kwa kuwa ina maslahi mapana kwa wananchi.
Mzee Yussuf ameyasema hayo alipokuwa akhojiwa ktk kipindi cha masham sham ya pwani kinachorushwa na ITV' amesema kuwa watanzania waache kulumbana badala yake waisome katiba hiyo.
Pia amewtaka watanzania kwa ujumla kuangalia mambo yanayowahusu na kuacha kuangalia mambo ya watu wengine ktk katiba hiyo.
"Kwa mfano we mkulima ukuona katiba pendekezwa ina maslahi mazuri kwa wakulima ipe kura ya ndio mambo ya wavuvi waachie wenye" akisema mzee Yussuf
Pia amewataka watanzania kutoacha mambo mazuri yaliomo ktk katiba hiyo kwa kushawishiwa na watu wenye maslahi binafsi
Source ITV