Mzee Yussuf awataka wasanii kuipa kula ya ndio katiba pendekezwa

Mzee Yussuf awataka wasanii kuipa kula ya ndio katiba pendekezwa

Msanii wa muziki yenye mahadhi ya pwani (taarabu) amewataka wasanii wa mbalimbali kuungana na kuipigia kura ya ndio pendekezwa kwa kuwa ina maslahi mapana kwa wananchi.

Mzee Yussuf ameyasema hayo alipokuwa akhojiwa ktk kipindi cha masham sham ya pwani kinachorushwa na ITV' amesema kuwa watanzania waache kulumbana badala yake waisome katiba hiyo.

Pia amewtaka watanzania kwa ujumla kuangalia mambo yanayowahusu na kuacha kuangalia mambo ya watu wengine ktk katiba hiyo.

"Kwa mfano we mkulima ukuona katiba pendekezwa ina maslahi mazuri kwa wakulima ipe kura ya ndio mambo ya wavuvi waachie wenye" akisema mzee Yussuf

Pia amewataka watanzania kutoacha mambo mazuri yaliomo ktk katiba hiyo kwa kushawishiwa na watu wenye maslahi binafsi

Source ITV

Sio kula ni kura mkuu
 
Yaani kenge km huyu anaruhusiwa kuwaambia watu aina ya kura ya kupiga alafu maaskofu hapana!!!!!
 
Usitake kutukera imba taarbu iyo ndo sehemu yako yamaisha subir kampen zianze ufanye ziara na chama chako mambo mengne usiguse achana nayo
 
Usitake kutukera imba taarbu iyo ndo sehemu yako yamaisha subir kampen zianze ufanye ziara na chama chako mambo mengne usiguse achana nayo

Sasa kwani kampeni zimeanza lini? si ndiyo leo zimeanza na yeyey ndo maana kaanza. Wewe wa wapi wewe usiyejua hata taarifa yani hata hujui linaloendelea kwa sasa, je kwa namna hiyo utaijua Katiba Inayopendekezwa?
 
Weka hoja ndugu mbona unatoa mapovu tuuu??
Aweke hoja gani sasa mkuu, kusema we kwenye katiba angalia maslahi yako mengine achana nayo ndo hoja hiyo kweli, kwenye katiba kuna maslahi mama, kama ilivyo katiba yenyewe kuwa ndo sheria mama, so cha muhimu angalia maslahi Mama yamekaaje, ndo hayo ya mmoja mmoja sasa yatatekelezeka, mfano muundo wa serikali, teuzi za viongozi maadili na uwajibikaji kwa watumishi wa uma na mengine yafananayo na hayo, hayo yakiwa sawa uhakika wa mkulima au mvuvi kujaliwa ni mkubwa
 
Aweke hoja gani sasa mkuu, kusema we kwenye katiba angalia maslahi yako mengine achana nayo ndo hoja hiyo kweli, kwenye katiba kuna maslahi mama, kama ilivyo katiba yenyewe kuwa ndo sheria mama, so cha muhimu angalia maslahi Mama yamekaaje, ndo hayo ya mmoja mmoja sasa yatatekelezeka, mfano muundo wa serikali, teuzi za viongozi maadili na uwajibikaji kwa watumishi wa uma na mengine yafananayo na hayo, hayo yakiwa sawa uhakika wa mkulima au mvuvi kujaliwa ni mkubwa

Sawa na wewe mbona unazidisha povu? hayo yote yameelezewa katika Katiba Inayopendekezwa vizuri kabisaaaa. sasa tafuta jingine hayo yamo.
 
Sasa kwani kampeni zimeanza lini? si ndiyo leo zimeanza na yeyey ndo maana kaanza. Wewe wa wapi wewe usiyejua hata taarifa yani hata hujui linaloendelea kwa sasa, je kwa namna hiyo utaijua Katiba Inayopendekezwa?


Kweli watanzania tunatakiwa tubadilike hatuna utamaduni wa kufuTilia masuala ya nchi yetu yakitukuta ndio tunaanza kujifanya busy tuwe wastaarabu!
 
Kweli Watanzania ni watu wa kukaa na kusikiliza muimba taarabu na mkata mauno hadharani? Muache tu anaimba taarabu na kubana pua ndo kazi yake kuu
Msanii wa muziki yenye mahadhi ya pwani (taarabu) amewataka wasanii wa mbalimbali kuungana na kuipigia kura ya ndio pendekezwa kwa kuwa ina maslahi mapana kwa wananchi.

Mzee Yussuf ameyasema hayo alipokuwa akhojiwa ktk kipindi cha masham sham ya pwani kinachorushwa na ITV' amesema kuwa watanzania waache kulumbana badala yake waisome katiba hiyo.

Pia amewtaka watanzania kwa ujumla kuangalia mambo yanayowahusu na kuacha kuangalia mambo ya watu wengine ktk katiba hiyo.

"Kwa mfano we mkulima ukuona katiba pendekezwa ina maslahi mazuri kwa wakulima ipe kura ya ndio mambo ya wavuvi waachie wenye" akisema mzee Yussuf

Pia amewataka watanzania kutoacha mambo mazuri yaliomo ktk katiba hiyo kwa kushawishiwa na watu wenye maslahi binafsi

Source ITV
 
Usitake kutukera imba taarbu iyo ndo sehemu yako yamaisha subir kampen zianze ufanye ziara na chama chako mambo mengne usiguse achana nayo


Sebooo kama wewe katiba inayopendkezwa inakukera jua wazi wako watanzania kibao wanaiunga mkono, vumilia hivyo hivyo na utulie usijifanye IS ndani ya Tz hatuna muda wa kulumbana hapa.
 
Sebooo kama wewe katiba inayopendkezwa inakukera jua wazi wako watanzania kibao wanaiunga mkono, vumilia hivyo hivyo na utulie usijifanye IS ndani ya Tz hatuna muda wa kulumbana hapa.

Wanajichimbia makaburi yao wao wenyewe bila kujijua, Katiba hii itapita kwa nguvu zote, na aibu itakuwa kwao.
 
Maskini Tanzania, akianza kukosa washabiki wa kwanza kusema serikali imenitelekeza.....
 
Back
Top Bottom