Mzee Yussuf awataka wasanii kuipa kula ya ndio katiba pendekezwa


Sasa mimi na wewe kwa nini tuburuzwe na watu? Na ni kwa maslahi yapi? Tuwe wa kweli tuthamini kilicho chetu ambacho tunacho tayari kuliko kutamani kisichopo kwa manufaa tusiyoyajua. Tumia muda wako jielimishe kwa kusoma nakala ya Katiba Inayopendekezwa ambayo tunayo sasa.
 
kwa nn watu tunashindwa kuwa waelewa?matusi si tabia mzuli na hayana mchango wowote hapa.weka heshima mbele ili tuheshimiane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…