Mzee Yusuph aamua kuachana na muziki na kumrudia Mungu wake

Mzee Yusuph aamua kuachana na muziki na kumrudia Mungu wake

Hahahaha lazima utakua wa upande wa pili wewe maana si kwa maswali haya ya kijahili,
Na kama ni muislam hlf hujui kama mziki ni haram basi una matatizo.

anyway, waislam wenyewe wanajua na kuelewa so wewe potezea.

Kuhusu taraweh nimeshindwa kuelewa unataka niizungumzie kwa mantiki ipi?
Maana Taraweh ni katika swala za sunna ziswaliwazo kipindi cha Ramadhan tukufu,
Sasa sijui ulitaka kufaham nini.
Sawa ni upande mwingine, je sipaswi kujua / kupata jibu la swali nililouliza?
 
Umenena vema mkuu, ila ndio mambo ya iman hayo kama ni katazo ni katazo tu hata kama halina mantiki
Mungu ndie anaekataza sasa katazo lake kama halina mantiki kwa watu wake aliewaumba basi huyu Mungu atakuwa na walakini au anaweza akawa si Mungu wa kweli bali mungu-mtu.
 
Back
Top Bottom